tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,115
Kila nikifikiria nakosa majibu sahihi , labda wenzangu mtanisaidia. Hivi watanzania kama taifa nani kapumbaza akili zetu?? Nani katuloga hadi tumefikia hali hii?? Hivi haya yangefanyika nchi zingine wangekubali yapite kama vile hakuna lililotokea?
Uchaguzi wa mwaka jana tumepolwa waz waz na wao walijiandaa kutupola na ndio maana walileta vifaa kibao vya kutudhibiti tutakapo dai haki yetu, matokeo yake hiyo haki hatujaidai wala nini tupo kimya kana kwamba hakuna kilicho tokea. Wametucheka mpaka yale magari ya kutuwashawasha wameyapeleka kumwagilia baada ya kukosa kazi walioikusudia. Tuna nini sisi??? Nani katuloga tusijitambue??
Escrow wamepiga hela mara mbili awamu ya mwisho ingekua ushahidi wa kudai hela zetu matokeo yake tuko kimya kama vile wametuibia elfu kumi. Wakati zile hela zingetosha kujenga nyumba za wafanya wote nchi nzima hata madarasa ya shule ya msingi.
Tumelogwa na nani wapendwa hadi mali zetu wanagawana tunapiga makofi??
Wamemuua Mawazo mchana kweupe tumelia lia wee hadi limepita hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa? Nani katuloga tusimpiganie mwenzetu kuwasaka wauaji wake?? Kutegemea police kila kitu ni kuchelewa maana sisi tupo kila sehem ni rahisi kufanya upelelezi tukiamua kuliko police. Je police wakiamlishwa wasipeleleze ndio basi kweli?? Hapana tumelogwa
Ben saa nane kapotea juzi sion dalili njema za kuisukuma serikali iwajibike kujibu tuhuma dhidi ya beni ili khali kuna sms za vitusho beni aliwqhi kutumiwa na alilipoti. Tungeanzia hapo tungepata ukweli. Tuko kimya mwisho beni atapotea kweli.
Yaan tunaelekea kusahau inaniuma sana sana. Sijui nani katuloga mpaka tumekua hivi..
Nitalia zaid na vijana wenzangu. Wazee wetu inaweza kuwa zama yao ilipita walituletea uhuru lakn uhuru huo Hatutaki kuutumia vyema matokeo yake tunarudi nyuma mara 100 kwa kukosa maamuzi ya kifikra na maamuzi ya kimwili. Tunaogopa kufa kama tutadumu milele. Tuamke kulitetea taifa kwa hali yeyote ile. Hii nchi Haijawahi kuwa ya viongozi pekee. Kiasi kwamba watushike akili maamuzi yote wafanye wao kama miungu watu. Haiwezekani. Vinginevyo tutalifanya taifa hili kuwa maabara ya kujifunzia watawala wabovu namna ya kuburuza wanadamu. Tusikubali kuendelea kukumbatiwa na huyu mchawi anaye tuloga, hebu tuamke tujue mchawi wetu ni nani.
Nauliza tena ni nani katuloga mpaka tumekua watu waoga kiasi hiki?? Tukumbuke woga ndio unaotusumbua. Nani katuloga????
Uchaguzi wa mwaka jana tumepolwa waz waz na wao walijiandaa kutupola na ndio maana walileta vifaa kibao vya kutudhibiti tutakapo dai haki yetu, matokeo yake hiyo haki hatujaidai wala nini tupo kimya kana kwamba hakuna kilicho tokea. Wametucheka mpaka yale magari ya kutuwashawasha wameyapeleka kumwagilia baada ya kukosa kazi walioikusudia. Tuna nini sisi??? Nani katuloga tusijitambue??
Escrow wamepiga hela mara mbili awamu ya mwisho ingekua ushahidi wa kudai hela zetu matokeo yake tuko kimya kama vile wametuibia elfu kumi. Wakati zile hela zingetosha kujenga nyumba za wafanya wote nchi nzima hata madarasa ya shule ya msingi.
Tumelogwa na nani wapendwa hadi mali zetu wanagawana tunapiga makofi??
Wamemuua Mawazo mchana kweupe tumelia lia wee hadi limepita hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa? Nani katuloga tusimpiganie mwenzetu kuwasaka wauaji wake?? Kutegemea police kila kitu ni kuchelewa maana sisi tupo kila sehem ni rahisi kufanya upelelezi tukiamua kuliko police. Je police wakiamlishwa wasipeleleze ndio basi kweli?? Hapana tumelogwa
Ben saa nane kapotea juzi sion dalili njema za kuisukuma serikali iwajibike kujibu tuhuma dhidi ya beni ili khali kuna sms za vitusho beni aliwqhi kutumiwa na alilipoti. Tungeanzia hapo tungepata ukweli. Tuko kimya mwisho beni atapotea kweli.
Yaan tunaelekea kusahau inaniuma sana sana. Sijui nani katuloga mpaka tumekua hivi..
Nitalia zaid na vijana wenzangu. Wazee wetu inaweza kuwa zama yao ilipita walituletea uhuru lakn uhuru huo Hatutaki kuutumia vyema matokeo yake tunarudi nyuma mara 100 kwa kukosa maamuzi ya kifikra na maamuzi ya kimwili. Tunaogopa kufa kama tutadumu milele. Tuamke kulitetea taifa kwa hali yeyote ile. Hii nchi Haijawahi kuwa ya viongozi pekee. Kiasi kwamba watushike akili maamuzi yote wafanye wao kama miungu watu. Haiwezekani. Vinginevyo tutalifanya taifa hili kuwa maabara ya kujifunzia watawala wabovu namna ya kuburuza wanadamu. Tusikubali kuendelea kukumbatiwa na huyu mchawi anaye tuloga, hebu tuamke tujue mchawi wetu ni nani.
Nauliza tena ni nani katuloga mpaka tumekua watu waoga kiasi hiki?? Tukumbuke woga ndio unaotusumbua. Nani katuloga????