Hivi wanawake ni mara ngapi mnata mkifika kileleni ndo muone mmekunwa kisawasawa??

Kitchetche

Member
Apr 2, 2017
71
77
Naomba kujua mnatosheka na shot ngapi labda ndo muone afadhali mmepata wa kuwafikisha.
Naomba maujuzi pliz coz nna mzigo/goma jipya natarajia ku-import wkend hii kwahiyo sitaki kulianguasha maana limenipania balaa.
 
Iko hivi, unapokuwa naye umeshaingiza kitu jitahidi upate G spot ukipata basi nenda naye taratibu maana wengine wanaume wanafujo sana na mbwembwe, nenda taratibu akifika kileleni, muache kwanza pumzika kidogo endelea tena hata umia maana hujafanya kwa fujo mkiendelea hivyo utamfikisha hata mara 5 bado anasikia yuko fresh, lakini ukimpeleka kama pampu ya maji ile manual ahah utamfikisha mara 1 au 2 tu basi wala hata tamani tena ndio utasikia anakupa udhuru ambayo haikiwepo.
 
Back
Top Bottom