busha JF-Expert Member Joined Jan 21, 2019 Posts 1,711 Reaction score 2,579 May 26, 2019 #21 Tena huyu wa dar kinondoni huyu,
Davet JF-Expert Member Joined Apr 5, 2013 Posts 42,474 Reaction score 206,020 May 28, 2019 #22 Sanchez magoli said: Alafu sasa hivi sio dar tu; nchi nzima hawa viumbe wamezagaa. Click to expand... Kabisa mkuu alafu mzigo wanapewa wa Dar
Sanchez magoli said: Alafu sasa hivi sio dar tu; nchi nzima hawa viumbe wamezagaa. Click to expand... Kabisa mkuu alafu mzigo wanapewa wa Dar
charrote JF-Expert Member Joined Aug 11, 2017 Posts 1,989 Reaction score 4,413 May 28, 2019 #23 Huwa nahisi kuna kitu hakiko sawa kwenye akili zao, wengine wanasema aina ya malezi pia huchangia na wengine wanadai 'homoni ' .Lakini bado sioni kama hizi ni sababu tosha kumfanya mtu awe hivyo.
Huwa nahisi kuna kitu hakiko sawa kwenye akili zao, wengine wanasema aina ya malezi pia huchangia na wengine wanadai 'homoni ' .Lakini bado sioni kama hizi ni sababu tosha kumfanya mtu awe hivyo.
feysher JF-Expert Member Joined Sep 6, 2016 Posts 2,656 Reaction score 2,775 May 28, 2019 #24 Wanaume dhaifu kwenye ubora wao