Hivi wanaume wa Dar wakoje?

africansongs

Member
Joined
Jan 5, 2018
Posts
83
Reaction score
225
Habarini wadau.
Leo nimeona tujadili hili la watoto wa kiume kugeuka kama wadada.
Naambatanisha picha ili tujadiliane.
 
mijitu inalishwa chipsi mayai toka iko midogo,unategemea kuna kitu hapo.pathetic
 
Hii picha imenichosha kweli
Ila dar wamezidi kweli;
Juzi kati nilikuwa bar mmoja inaitwa 5N
Ipo opposite na mlimani city. Hawa wadudu nilikuta wamezungusha karibu meza 4 wanasherekea bizedey ya mwenzao. Walikuwa karibu 15.

Na hawa watu wanao watumia hawa sijui kama zimo sawa sawa;
 
Msamehe

Elimu ya kupambanua nayo ni kipaji sio kila mtu anacho
Kwahiyo huyo anakaa dar, unamfaham kwao au umehisi anakaa dar, km unajua anaishi dar basi unafaham kwao so kamuulizie hiyo picha iko vipi vipi, sio unakusanya tu wanaume wa dar
 
Hatari. Na mashoga siku hizi wanawazidi hata madada kwa vituko vyao.
 
Mkuu besdei unaamua kusherehekea kwa matakwa yako binafsi, unaamua kualika wenzako unafanya kwa gharama zako wala sio uvunjifu wa sheria, ukiwa na pesa za kutumia unafanya tu hayo mambo,
 
Huyu atakuwa mwanaume wa mikoani anakula ndizi mbivu mpaka amewiva mwenyewe sasa.🀣🀣


Nangatukaa πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Mkuu besdei unaamua kusherehekea kwa matakwa yako binafsi, unaamua kualika wenzako unafanya kwa gharama zako wala sio uvunjifu wa sheria, ukiwa na pesa za kutumia unafanya tu hayo mambo,
Swala sio pesa ama kualika wenzako
Swala ni wote walio kuwa kwenye zile meza
Walikuwa sio ridhiki; ndicho tuna choulizana hapa kwanini wana ongezeka kwa kasi na hasa Dar es saalam japo na mikoa mingine kama usukumani uchaghan mpaka kwenu rwamishenye kashoju kule wapo pia sijakataa
 
Unajiuliza wakati walengwa umewaona wakijiliwaza na tabia zao si unaenda tu wanakupa jibu kwanini wanaongezeka kwa kasi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena Ni watu wenye pesa na heshima zao kwenye jamii, wanawapenda Sana Hawa viumbe[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…