Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

Daby

JF-Expert Member
Oct 26, 2014
33,648
75,732
wakuu kwema....

Naomba kuuliza tu... hawa wanawake kila siku mnasema maharage ya mbeya nyie mnawapataje!

tupeni mbinu wenzenu tumechoka kupigwa vya mbavu. au utongozaji unanipoza sijui kutongoza?

Wengi pm wamefunga kabisa... ukisema uqoute jukwaani unaweza kujibiwa vibaya ukaabika mbele ya wadogo zako.

tupeane uzoefu mafundi. nawaaminia.
 
wakuu kwema....

Naomba kuuliza tu... hawa wanawake kila siku mnasema maharage ya mbeya nyie mnawapataje!

tupeni mbinu wenzenu tumechoka kupigwa vya mbavu. au utongozaji unanipoza sijui kutongoza?

Wengi pm wamefunga kabisa... ukisema uqoute jukwaani unaweza kujibiwa vibaya ukaabika mbele ya wadogo zako.

tupeane uzoefu mafundi. nawaaminia.
hihihiiiii yaani nimecheka
 
wakuu kwema....

Naomba kuuliza tu... hawa wanawake kila siku mnasema maharage ya mbeya nyie mnawapataje!

tupeni mbinu wenzenu tumechoka kupigwa vya mbavu. au utongozaji unanipoza sijui kutongoza?

Wengi pm wamefunga kabisa... ukisema uqoute jukwaani unaweza kujibiwa vibaya ukaabika mbele ya wadogo zako.

tupeane uzoefu mafundi. nawaaminia.

Kama Mwanamke unamtongoza Saa 3 na dakika 7 asubuhi kisha Saa 4 na dakika 15 asubuhi hiyo hiyo anakuambia yupo ' Daladalani ' anakuja na Saa 5 na dakika 3 asubuhi hiyo hiyo ' Mbunye ' yake unakuwa nayo Kitandani mwako ' Ghetoni ' ukitiririka na kuserereka nayo, huyo ukumuita Maharage ya Mbeya utakuwa na ' dhambi ' iliyotukuka kwa Maulana?
 
Kama Mwanamke unamtongoza Saa 3 na dakika 7 asubuhi kisha Saa 4 na dakika 15 asubuhi hiyo hiyo anakuambia yupo ' Daladalani ' anakuja na Saa 5 na dakika 3 asubuhi hiyo hiyo ' Mbunye ' yake unakuwa nayo Kitandani mwako ' Ghetoni ' ukitiririka na kuserereka nayo, huyo ukumuita Maharage ya Mbeya utakuwa na ' dhambi ' iliyotukuka kwa Maulana?
huyo sio maharage bali kakusaidia.
 
huyo sio maharage bali kakusaidia.

Sipendi ' Kusaidiwa ' kiuwepesi hivyo Mkuu. Halafu katika Historia yangu ya ' Kungonoka ' huwa sipendi Mwanamke asiyenisumbua katika kunipa ' Mbunye ' yake na nikikutana na Mwanamke Maharage ya Mbeya huwa namdharau / nawadharau sana tu. Hakuna raha utamu kama Kula nyama uliyoihangaikia kwa muda mrefu Mkuu.
 
Sipendi ' Kusaidiwa ' kiuwepesi hivyo Mkuu. Halafu katika Historia yangu ya ' Kungonoka ' huwa sipendi Mwanamke asiyenisumbua katika kunipa ' Mbunye ' yake na nikikutana na Mwanamke Maharage ya Mbeya huwa namdharau / nawadharau sana tu. Hakuna raha utamu kama Kula nyama uliyoihangaikia kwa muda mrefu Mkuu.
sisi wanyonge hao ndiyo tunawataka mkuu.
 
Back
Top Bottom