Hivi wanatuonaje hawa ?

Mamamaeeee….! Walamba vinyeo na nnya sababu ya vichenchi vidogo.
Haya tuambie huo u smart upo kwenye kipi hasa na goals gani alizo achieve mpaka sasa.

Utatuaje ikiwa haufatalii mambo sisi wakazi wa Jimbo lake tunaelewa Kazi ya kozalendo na kujitoa kwa wananchi

Mchengera ni moja ya viongozi wanaofikika kwa urahisi

The guy is not there by chance , Ila yupo competent katika Kazi .

Msikae mtandaoni mnatukana watu nendeni Field pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…