Hivi wanaCCM ndio wa kukionea huruma Chadema?

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,252
8,003
Kumekua ma threads nyingi humu zote kutoka CCM za kinafki eti wanakionea huruma Chadema! Mara ooh Mbowe anaua chama,sijui Lowassa kakinunua Chadema, mara ooh katibu mkuu mpya hafai,sijui hatumtaki Mbowe, sijui Come back Dr Slaa!



Khaa! tangu lini ccm unafurahia uwepo wa Chadema? Hivi mna akili sawa sawa? Pilipili msiyoila inakuwashieni nini?Unafki mtupu ndio maana hamuendelei kila siku majungu tu mtandsoni.



Ya Chadema Waacheni wenyewe hangaikeni na lichama lenu la magamba.Chama kinachotembelea jina la mtu moja tu kwa sasa, sijui akiondoka mtasema nini.
 
Kumekua ma threads nyingi humu zote kutoka CCM za kinafki eti wanakionea huruma Chadema! Mara ooh Mbowe anaua chama,sijui Lowassa kakinunua Chadema, mara ooh katibu mkuu mpya hafai,sijui hatumtaki Mbowe, sijui Come back Dr Slaa!



Khaa! tangu lini ccm unafurahia uwepo wa Chadema? Hivi mna akili sawa sawa? Pilipili msiyoila inakuwashieni nini?Unafki mtupu ndio maana hamuendelei kila siku majungu tu mtandsoni.



Ya Chadema Waacheni wenyewe hangaikeni na lichama lenu la magamba.Chama kinachotembelea jina la mtu moja tu kwa sasa, sijui akiondoka mtasema nini.
Watuachie chadema yetu tumeipenda wenyewe
 
katiba ya ccm inasema hivi.
fanya majungu.fisidi kitengo ulichopo.na fitina kwa sana upate cheo
 
Back
Top Bottom