juzi kuna uzi humu kuhusu jamaa ambaye magari yake yakikamatwa huyo trafiki lazima yamkute,sasa ya nini kuwa na viongozi mizigo na kikwazo cha maendeleo wakati kuna njia ya mkato ya kuwaondoa kwenye system tunaishia kulalamika!
Uchawi ni imani yako!
Wachawi ni traditional sociologists na psychologists walio kazini na wanaocheza tu na akili za watu wenye akili fupi na uelewa mdogo wa mambo ili kupata pesa ya kulisha familia zao. Kikubwa anachotegemea mchawi ni kucheza na paychology ya mtu!
Hivyo unaweza peleka mzigo kwa hao wachawi wakufanyie kazi ya kuiroga serikali, kama serikalini hawana imani na uchawi utakuwa unatwanga maji ktk kinu! Ili uchawi ufanye kazi lazima pande zote ziwe na imani kuhusu uchawi.
Binafsi SIAMINI uchawi, sababu sijawahi kuuona na hamna mtu ambaye amewahi kuniambia ameshuhudia zaidi ya kuniambia kuwa nae kasikia tu!
Juzi kuna uzi humu kuhusu jamaa ambaye magari yake yakikamatwa huyo trafiki lazima yamkute.
Sasa ya nini kuwa na viongozi mizigo na kikwazo cha maendeleo wakati kuna njia ya mkato ya kuwaondoa kwenye system tunaishia kulalamika!
Sasa kurogwa si mpaka niwe na imani ndo nitaathirika na kurogwa? Naijengaje hiyo imani ili niwe subject ya kurogwa?Na kweli mpaka siku urogwe ndo utaujua! Vipo vingi tu havionekani lkn tunaviamini. Uchawi upo hata vitabu vitukufu vinasema. Endelea kutafiti utajua haya nisemayo.
Uchawi ni imani yako!
Wachawi ni traditional sociologists na psychologists walio kazini na wanaocheza tu na akili za watu wenye akili fupi na uelewa mdogo wa mambo ili kupata pesa ya kulisha familia zao. Kikubwa anachotegemea mchawi ni kucheza na paychology ya mtu!
Hivyo unaweza peleka mzigo kwa hao wachawi wakufanyie kazi ya kuiroga serikali, kama serikalini hawana imani na uchawi utakuwa unatwanga maji ktk kinu! Ili uchawi ufanye kazi lazima pande zote ziwe na imani kuhusu uchawi.
Binafsi SIAMINI uchawi, sababu sijawahi kuuona na hamna mtu ambaye amewahi kuniambia ameshuhudia zaidi ya kuniambia kuwa nae kasikia tu!
IILOGWE MARA MBILI?SERIKALI YA CHAMA CHA MAPINDUZI ILISHALOGWAGA SIKU NYINGI KISHA IKAJILOGA YENYEWE...HIVYO MISINGI YAO YOTE NA ITIKADI NI ZA KUZIMU...Huwezi nunua magari mia saba na magari yakuwasha bila sababu za msingi ili hali wanafunzi hawana mikopo ....si nikulogwa huko?