HIVI VODACOM WANAKIMBIA NCHI AU? NI HATARI WANAYOFANYA

Mie nilipewa ofisini 15GB, zikaisha wiki. Bembeleza sana Muhasibu, nikapewa 10 GB. Nikawa natumia kwa hofu kweli. Haikufika wiki, kalass !
Nikajipinda, nikajaza kwenye simu yangu Airtel. Mpaka leo napewa cash ofisini nanunua bundle la Airtel 15GB mwezi mzima
airtel wajitanue tu sasa niko huku kanda ya ziwa bush nikalazimika kuazima line ya simu ya hawa wezi vodacom,nimeshuhudia maajabu leo,kweli serikali haikukosea hawa jamaa ni wataalamu wa money laundering
 
Binafsi swala la mb's siwalahum Voda nimenunua kifurush jana mpaka sasa nimetumia mbs < 150 data huwa nazima Nikiwa na maongezi ya muda mrefu vinginevyo 24*7 data ziko on.
Na stream video Youtube na vitu vingine nafanya bando linaenda kulingana na matumizi yangu.
Since 2009 nilipoanza kumiliki sim natumia voda mpaka leo.
Screenshot_20190605-175051~2.jpeg
 
Mie nilikuwa nashangaa nanunua bando lile la wiki 5000 unapewa gb 3, aisee hata siku 3 hazifiki...Matumizi yangu hata mb 500 kwa siku sifiki...Nikaamua kuwapigia na kuwauliza kulikoni? Wakanambia nijaribu kucheki setting ili kuondoa baadhi ya progrm zinazotafuna sana mb...Nikawaambia hakuna kitu kama hicho.
 
Binafsi swala la mb's siwalahum Voda nimenunua kifurush jana mpaka sasa nimetumia mbs < 150 data huwa nazima Nikiwa na maongezi ya muda mrefu vinginevyo 24*7 data ziko on.
Na stream video Youtube na vitu vingine nafanya bando linaenda kulingana na matumizi yangu.
Since 2009 nilipoanza kumiliki sim natumia voda mpaka leo. View attachment 1118702
Airtel hakuna kuzima mpaka uz siku kucha, bado mambo safi
 
Binafsi swala la mb's siwalahum Voda nimenunua kifurush jana mpaka sasa nimetumia mbs < 150 data huwa nazima Nikiwa na maongezi ya muda mrefu vinginevyo 24*7 data ziko on.
Na stream video Youtube na vitu vingine nafanya bando linaenda kulingana na matumizi yangu.
Since 2009 nilipoanza kumiliki sim natumia voda mpaka leo. View attachment 1118702
ndugu yangu mimi siyo mgeni wa masuala hayo,kazi zangu zinahusiana na mambo ya teknolojia ,najua ninachozungumza,kama unahusika hapo ofisini waambie waache wanachokifanya itawagharimu sana matangazo ya media kurudisha imani,watu wamewehuka sasa hivi hatuna pesa kuibiwa kizembezembe inatia hasira sana
 
2gb ndani ya masaa mawili ni kwamba hizo 2gb mtu anachimbia choo au? Maana hizo 2gb zingekua na maana sana kwa hayo masaa mawili kama speed ingekua supportive
hahahaa hizo bundle huwa tunaunga kwa ajili ya kazi maalumu tu, hasa kudownload movie. Tofauti na hapo ni hasara kubwa, na ni kama huwa wanafanya makusudi maana ukiunga tu bundle na network inaanza kusumbua sumbua
 
Si mnunue 10gb kwa 20,000 tu kwa mwezi. Unatumia mpka unaogelea na wewe humo
 
Ni kweli hawa jamaa siwaelewi KABISAA wameyeyusha bando langu la buku 6 ndani ya dk 3
 
aisee mpaka nimecheki settings za laptop mara mia mia kama ina ji update lakini hapana,sija stream hata video na surf kawaida nikimbizane na deadline nimalize kazi lakini hadi nimeshangaa nimeongeza tena bando ila sina amani moyoni,yaani ku survive Africa ni tabu sana.
Ukiwapigia watakwambia uba strimu youtube au KUNA APP KWENYE BACKGROUND zinakula internet... Hayo ndio majibu yao utayopewa.
 
Si mnunue 10gb kwa 20,000 tu kwa mwezi. Unatumia mpka unaogelea na wewe humo
shida siyo ukubwa bando,shida ni inavyofekwa,sijawahi na kwa hali ninayoina sitawahi kununua bando la 20,000 kwa hawa jamaa,hapa naomba Mungu tu afanye miujiza hii kazi huku bush iishe salama maana hata speed imeanza kuyumba hapa.
 
niko katika mkoa ninaolazimika kutumia voda maana nikiwa dar ni airtel lakini masaibu ninayoyapata kwa bando za hawa jamaa ,duh au wanazichanga za mwishomwisho kabla ya kukimbia nchi?
najua wengine mtakuja na matusi kwamba nawaharibia biashara ila KWA KWELI HAPANA,VODACOM NI WEZI WAKUBWA WA BANDO
hii ni organised crime kabisa,bando la 2gb linayeyuka kimasihara. Hopless kabisa,na nyie airtel mjitahidi basi mfike maeneo mengine,
:mad::mad::mad::confused:
Hamia Zantel, ukifanikiwa uje kunishukuru maana utajuta kwanini hukuhamia mapema. Mitandao yote ya kipuuzi tu kasoro wao hasa kama uko nje ya Dar ni full bata
 
niko katika mkoa ninaolazimika kutumia voda maana nikiwa dar ni airtel lakini masaibu ninayoyapata kwa bando za hawa jamaa ,duh au wanazichanga za mwishomwisho kabla ya kukimbia nchi?
najua wengine mtakuja na matusi kwamba nawaharibia biashara ila KWA KWELI HAPANA,VODACOM NI WEZI WAKUBWA WA BANDO
hii ni organised crime kabisa,bando la 2gb linayeyuka kimasihara. Hopless kabisa,na nyie airtel mjitahidi basi mfike maeneo mengine,
:mad::mad::mad::confused:
Siungi bando la voda hata siku moja, huwezi kufanya kazi zako kwa uhuru, linaisha tu bila kulitumia.
 
Airtel wana bando za bei nafuu na wala halimezwi fasta ka za voda ila tatizo speed ya internet ipo slow sijui ni nchi nzima au baadh ya mikoa..

Voda ni zaidi ya balaa yaani 2gb kama upo bize na mtandao masaa mawili ni mengi imekata
 
Hamia Zantel, ukifanikiwa uje kunishukuru maana utajuta kwanini hukuhamia mapema. Mitandao yote ya kipuuzi tu kasoro wao hasa kama uko nje ya Dar ni full bata
zantel kanda ya ziwa hawaonekani mkuu,in 2 weeks nitakuw animerudi dsm nitawajaribu,nimewazoea airtel na huwa hawaniangushi kabisa sema huku network yao kimeo
 
niko katika mkoa ninaolazimika kutumia voda maana nikiwa dar ni airtel lakini masaibu ninayoyapata kwa bando za hawa jamaa ,duh au wanazichanga za mwishomwisho kabla ya kukimbia nchi?
najua wengine mtakuja na matusi kwamba nawaharibia biashara ila KWA KWELI HAPANA,VODACOM NI WEZI WAKUBWA WA BANDO
hii ni organised crime kabisa,bando la 2gb linayeyuka kimasihara. Hopless kabisa,na nyie airtel mjitahidi basi mfike maeneo mengine,
:mad::mad::mad::confused:
Mkuu nani atakutusi kutetea hao mumiani? %90 ya wateja waliishachoka nao.

Waliokazia kutumia Voda hadi sasahivi ni wale wenye dharula kama wewe, kufanyia miamala ya kifedha na wale wanaofanyia uzoefu wa sifa za zamani.

Kwa ujumla Voda kama hawana ajenda uliyohisi, basi watakuwa wamelewa sifa za kutawala soko.

Na hayo makosa wanayoyafanya bila kuelewa soko linataka nini, ninawatabiria kufa kifo cha kawaida.
Labda wajirekebishe pakubwa.
 
Back
Top Bottom