Hivi vigezo vya kuwa rais imara (strong leader) ni vipi ?

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Nimekuwa nikisikia watu wakisema tuna kiongozi imara Mimi nimekaa na kujiuliza hivi kiongozi imara anakuwa na sifa zipi ?

Kushindwa kuwashugulikia mafisadi ndio kuwa imara?

Hivi rais imara anaweza kukubari kuwalipa matapeli ya IPTL Milioni 4 kila siku ?

Kuwakejeri na kuwashambulia wapinzani wake ndio kuwa imara?

Dr Slaa alikuwa mbunge toka mwaka 1995 mpaka 2010

Lakini pamoja na kutoa siri nyingi za Serikali sijawai kusikia Mkapa au kikwete wakimshambulia.

Tundu Lissu amekuwa mbunge toka mwaka 2010 lakini kuna kipindi Rais kikwete alikiri kabisa kuwa tundu Lissu ni mbunge imara.

Wabunge wa ccm hivyo hivyo wamekuwa wakikiri wakitamani hata watoto wao watakao wazaa wawe na akili kama za Tundu Lissu.

Hivi Rais imara ni kuogopa vyombo vya habari?

Rais imara ni kuzuia siasa?

Rais imara ni kuwanyima vijana mikopo ili wasome?

Rais imara ni kubadirisha matumizi ya Rambi Rambi?

Rais ambaye sio mvumilivu ni muoga wa kupokea hata ushauri kila kitu kinamuumiza na anatamani kukifanyia maamuzi.

Eti ningewapoteza hivi kuwapoteza ndio kuwa imara?

Kwangu Mimi Huyu ndiye Rais dhaifu kabisa who ever seen in my political career.

He deserve to be a weak President in our history.
 
Classification ya Rais imara kwa CCM ni kuziba Wapinzani wasiongee, kufukuza Watumishi na kisha kuendelea kuwalipa. Kutoa matamko yasiyoendana na uhalisia....
 
Tuliposema tunamtaka Rais imara hatukuwa na maana ya wa hivi. Ni vizuri kitengo ndani ya CCM ikafanya kazi ya ziada kuweka mambo sawa
 
Hii miaka 5 wa-tz tumekula hasara aisee,

Kwa fisiem rais imara ni kuzuia tu wapinzani wasiongee, hapo watu oyeeee

Ila ndio poa tumeshapata somo, next time hatutarudi tena makosa,

Anyways, naskia Lowasa fisadi. Mbona tunaambiwa mahakama ya mafisadi haina kesi,
 
Nimekuwa nikisikia watu wakisema tuna kiongozi imara Mimi nimekaa na kujiuliza hivi kiongozi imara anakuwa na sifa zipi ?

Kushindwa kuwashugulikia mafisadi ndio kuwa imara?

Hivi rais imara anaweza kukubari kuwalipa matapeli ya IPTL Milioni 4 kila siku ?

Kuwakejeri na kuwashambulia wapinzani wake ndio kuwa imara?

Dr Slaa alikuwa mbunge toka mwaka 1995 mpaka 2010

Lakini pamoja na kutoa siri nyingi za Serikali sijawai kusikia Mkapa au kikwete wakimshambulia.

Tundu Lissu amekuwa mbunge toka mwaka 2010 lakini kuna kipindi Rais kikwete alikiri kabisa kuwa tundu Lissu ni mbunge imara.

Wabunge wa ccm hivyo hivyo wamekuwa wakikiri wakitamani hata watoto wao watakao wazaa wawe na akili kama za Tundu Lissu.

Hivi Rais imara ni kuogopa vyombo vya habari?

Rais imara ni kuzuia siasa?

Rais imara ni kuwanyima vijana mikopo ili wasome?

Rais imara ni kubadirisha matumizi ya Rambi Rambi?

Rais ambaye sio mvumilivu ni muoga wa kupokea hata ushauri kila kitu kinamuumiza na anatamani kukifanyia maamuzi.

Eti ningewapoteza hivi kuwapoteza ndio kuwa imara?

Kwangu Mimi Huyu ndiye Rais dhaifu kabisa who ever seen in my political career.

He deserve to be a weak President in our history.
Mkuu he is not only weak but also the WORST President we have ever had in this country.
 
Back
Top Bottom