Hivi utaanzia wapi kulikataa hili li-V8?

Mpaka sasa najiuliza umuhimu wa hawa Wakuu wa Mkoa/Wilaya mpaka kupewa usafiri wa gharama kias hicho, na bado Serikal inatuaminisha kuwa inabana matumiz
 
Ukiwa mwanasiasa halafu ukawa maskini ndio matokeo yake leo hii Mpendazoe hata akipewa ukarani Lumumba ataenda.
 
Back
Top Bottom