Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 713
Embu fikiria kama viungo vyetu mwilini vingekuwa vinafungwa kwa nati au screw
Sasa siku moja ukaenda kuoga tena ukafungua na machine(kirungu) ili uisafishe vizuri afu mara paah nati inakuponyoka inaingia kwenye sink nakupotelea huko jumla afu uambiwe kuwa nati hazina spare dah hivi utafanyaje
Sasa siku moja ukaenda kuoga tena ukafungua na machine(kirungu) ili uisafishe vizuri afu mara paah nati inakuponyoka inaingia kwenye sink nakupotelea huko jumla afu uambiwe kuwa nati hazina spare dah hivi utafanyaje