ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,583
- 44,827
Wengi tumesoma secondary na vyuoni na wengine mpaka international school wamepita lakini kiukweli hatujui kuongea english ipasavyo wengi tunakielewa kwa kukisoma pekee na sio kuongea.
Mimi nimekaa nimefikiria nimeona sijawahi kuona mtu anajua kingereza kukiongea halafu awe maskini hio haipo. watu wakijua unakiweza kingereza utapatiwa fursa nyingi sana maboss wengi watatamani kukaa na wewe wajifunze mengi maana ni lugha inayovutia sana hata ukikaa bar kingereza kinanoga sana achilia mbali ukalimani na kuongoza watalii wa kizungu hela ipo nje nje.
Mimi nimeona kila deal nalowaza naona kama halilipi ma bitcon ma free lancing yote naona nimeshapishana nayo kushoto ngumu kujifunza zinahitaji muda ila kingereza rahisi kujifunza kwani ni kukiongea tu achana na waswahili watakuona una dharau siku hizi kiswahili hukipendi ila we wapotezee hakikisha watu unaokutana nao wako interest kujifunza piga nao story soma machapisho mengi angalia movies zenye subtitle baada ya mwaka we utakuwa level nyingine na uhakika kitakupa hela.
Mimi nimekaa nimefikiria nimeona sijawahi kuona mtu anajua kingereza kukiongea halafu awe maskini hio haipo. watu wakijua unakiweza kingereza utapatiwa fursa nyingi sana maboss wengi watatamani kukaa na wewe wajifunze mengi maana ni lugha inayovutia sana hata ukikaa bar kingereza kinanoga sana achilia mbali ukalimani na kuongoza watalii wa kizungu hela ipo nje nje.
Mimi nimeona kila deal nalowaza naona kama halilipi ma bitcon ma free lancing yote naona nimeshapishana nayo kushoto ngumu kujifunza zinahitaji muda ila kingereza rahisi kujifunza kwani ni kukiongea tu achana na waswahili watakuona una dharau siku hizi kiswahili hukipendi ila we wapotezee hakikisha watu unaokutana nao wako interest kujifunza piga nao story soma machapisho mengi angalia movies zenye subtitle baada ya mwaka we utakuwa level nyingine na uhakika kitakupa hela.