shalua mpanda
Member
- Dec 29, 2013
- 28
- 4
Kama kumbukumbu zangu zitakuwa nzuri ilikuwa miaka ya 80 hivi kulikuwa na katuni kwenye magazeti ya mzalendo na uhuru ilikuwa inaitwa Chakubanga,leo nimeikumbuka sana hii kitu!
Kulikua na chakubanga, polo (mishen town), bushiri (mkulima), chukulubu(mtoto? wa chakubanga).
Oh kweli na Polo alikuwa mzururaji flani ivi. Nimekumbuka mbali sana
Umekumbuka wapi mama joe?
Lazima "uDUHIKE" tu kama umezaliwa miaka enzi za mkapa na kikwete,haya tuachie wahenga