donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,049
- 21,526
Kila zama na wakati wake mkuu! Wako wapi kina ZTE na HTC? Washkaji walikua na mashine hatari sana kwa kipindi hicho lakini nao zama zao zishapita, lakini kuna kampuni nyingi tu za simu za kisasa wanatengeneza simu zenye features za hovyo au kulingana na hiyo miamba ya wakati huo, Nokia, LG & Sony Xperia kidogo wanaenda na nyakati kimtindo..Salam wakuu,
Habari za wakati huu? . Strait to the point, miaka ya nyuma kidogo simu Aina ya blackberry zilishika hatamu Sana. Wakati tuko vyuoni sifa ya pisi Kali au blazamen lazima umiliki BB. Pamoja na kwamba ilikua inakera hususani kwenye swala la kureboot unaweza ukalia mpaka simu iwake, lakini kilichowakamata wengi Ni BBM. Aisee, ile ilikua ndio swaga wakati huo. Manzi humuombi namba Bali BBM pin, mpaka kukawaga na ma BBM party etc. Sasa nashangaa saivi sizioni kabisa, nimejaribu kuingia play store naona hata BBM kutumia inabidi ulipie. Sasa sijui wakuu Kuna Nini kuhusu hii kampuni
Hahah, Mr.Chocolate fleivaaaNi kama usharobaro wa bob junior ulivyoisha
Sahihi mkuu, enzi hizo htc one daahKila zama na wakati wake mkuu! Wako wapi kina ZTE na HTC? Washkaji walikua na mashine hatari sana kwa kipindi hicho lakini nao zama zao zishapita, lakini kuna kampuni nyingi tu za simu za kisasa wanatengeneza simu zenye features za hovyo au kulingana na hiyo miamba ya wakati huo, Nokia, LG & Sony Xperia kidogo wanaenda na nyakati kimtindo..
Kweli mkuu naona department zao za R & D zinafeli Sana. Wajaribu hata kuclone wenzao, kisoko inaruhusiwa. Hata Oppo zamani UI ilikua Ni iOs tupu yaani.Innovation, innovation, innovation. Huko kwa wenzetu ukiwa na kitu kizuri haimaanishi ukarelx inamaanisha inatakiwa uje na maboresho mapya kila kukicha, angalia Iphone na Samsung, husipokuwa innovative wanakupita kama umesimama vile, kuna watu hawalali wanafikiria miaka 200 mbele
Hahahah kweli mkuu, eti kifurushi Cha BBMNicheki BBM
Usenge mtupu, simu ina hadi vifurushi special eti.
Enzi hizi mkuu?Kuna mahali nilikutana na smartphone ya blackberry nikasema kumbe hawa jamaa bado wapo duniani.
Hahaha mwamba umemaindi kimaku😂!!! Itoshe tu kusema sikuwahi miliki huo ushenzi wa simu japo bi.mkubwa alikuwaga nayo. Simu ngumu kutumia kama nini sikuwahi ipenda hata GUI yake.Nicheki BBM
Usenge mtupu, simu ina hadi vifurushi special eti.
Hahahah mabishoo wa UD mliteseka sana, unahangaishwa na simu kuliko vitini na coursework😂😂 kisa tu uwajambishe mademuna vile vifurushi vyao speacial ghalii, unajiunga unajiona wewe ndio wewe
unaona umeyapatia maisha uku ukiugulia maumivu ndani kwa ndani
pumbav zao
For reals Holmes, ile GUi ya kishenzi plus karibu kureboot simu uone. Unaweza ukaenda tutorial, ukarudi, unafanya assignment ukamaliza, ukaenda presentation jioni ukarudi, bado haijawaka.Hahaha mwamba umemaindi kimaku!!! Itoshe tu kusema sikuwahi miliki huo ushenzi wa simu japo bi.mkubwa alikuwaga nayo. Simu ngumu kutumia kama nini sikuwahi ipenda hata GUI yake.
Thanks for google dropping the androids,the most fun OS in the Market.
Enzi hizo blackberry bold, curve unaonekana Kama njuka tuHahahah mabishoo wa UD mliteseka sana, unahangaishwa na simu kuliko vitini na courseworkkisa tu uwajambishe mademu
Kwanza huo mfumo tu wa mabatani mengi kama keyboard ya computer nilikiwa nachukia kinyama.Hahaha mwamba umemaindi kimaku😂!!! Itoshe tu kusema sikuwahi miliki huo ushenzi wa simu japo bi.mkubwa alikuwaga nayo. Simu ngumu kutumia kama nini sikuwahi ipenda hata GUI yake.
Thanks for google dropping the androids,the most fun OS in the Market.
Lizito kinoma yani.For reals Holmes, ile GUi ya kishenzi plus karibu kureboot simu uone. Unaweza ukaenda tutorial, ukarudi, unafanya assignment ukamaliza, ukaenda presentation jioni ukarudi, bado haijawaka.