Hivi Tanzania kuna Mawaziri kweli?

Sema Sasa

JF-Expert Member
Oct 19, 2012
651
898
Nimejitahidi kufuatilia siasa za hii nchi naona kabisa mawaziri hawapo au kama wapo hawaeleweki wanafanya nini. Namwona kwa mbali sana Lukuvi na Jenista. Kipindi cha Kikwete Mawaziri na manaibu wao walipamba sana media , wali kuwa hot kweli kweli. Nini kimewapata hawa wa awamu ya tano au hakuna cha kufanya.
 
Sasa kama Waziri anatokana na wabunge ambao sifa kuu ni kujua kusoma na kuandika tu wategemea nn?
 
Back
Top Bottom