Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,127
Nimekumbuka ilikuwa mwaka 2002 au 2003 nilipoitiwa mtoto (demu) aliyetoka Dar. Uncle wake ndiye aliyeniunganishia. Aise! Niliishia kutetemeka kama nimeshikwa na ngiri. Wakati huo nilikuwa Primary na sijamjua mwanamke bado. Kama yule binti angeendelea kukaa pale aliponikuta hakika ningezimia kwa hofu.
Turudi kwenye swali, hivi siku hizi ile staili ya kutongoza kwa kuanza na kibwagizo cha Smahani dada bado inatumika?
Turudi kwenye swali, hivi siku hizi ile staili ya kutongoza kwa kuanza na kibwagizo cha Smahani dada bado inatumika?