Hivi Samia na Mwigulu ,akili zao zimewatuma , Kupambana na CATHOLIC Kwa kutumia Akina Ludovic? Kweli Kanisa liliopo zaidi ya Miaka 2000

Hivi Samia na Mwigulu ,akili zao zimewatuma , Kupambana na CATHOLIC Kwa kutumia Akina Ludovic? Kweli Kanisa liliopo zaidi ya Miaka 2000

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Ama kweli Heri Nguo kuraruka kuliko Akili.

Ujinga mnaoufanya dhidi ya Catholic,ni sawa Kuwaambia VATICAN wawe Serious na Tanzania.

Unaposema VATICAN Kwa Uhuni wako ili uwachafue, ni kusema ULAYA , ni Kuisema MAREKANI .

JE MNATAKA VATICAN isemwe nanyi??.

Hivi tujamaa kama tu Ludovich na wahuni wenzie, ndio wa KUHANGAIKA na CATHOLIC 🤣.

CATHOLIC hii hii ambayo Utaikuta Mpaka Saudia Arabia, Oman, UAE, Iraq, Syria, Palestine ??.
Mwigulu HAUNA AKILI WEWE .

Mwigulu Elimu yako ni zile za Kusoma Kwa kukalili ili ufaulu , ila HAUNA INTELLIGENCE YOYOTE .
 
Mkuu hujipendei una stress zako .
Waache viongozi wetu, tunaimani kubwa sana na Viongozi wetu.

Udini mkajadili na kitima huko misheni hatutaki habari zako humu jukwani
 
Ama kweli Heri Nguo kuraruka kuliko Akili.

Ujinga mnaoufanya dhidi ya Catholic ni sawa Kuwaambia VATICAN wawe Serious na Tanzania.

Unaposema VATICAN Kwa Uhuni wako ili uwachafue, ni kusema ULAYA , ni Kuisema MAREKANI .

JE MNATAKA VATICAN iseme nanyi??.

Hivi tujamaa kama tu Ludovich na wahuni wenzie ndio wa KUHANGAIKA na CATHOLIC 🤣.

CATHOLIC hii hii ambayo Utaikuta Mpaka Saudia Arabia, Oman, UAE, Iraq, Syria, Palestine?.


Mwigulu HAUNA AKILI WEWE .

Mwigulu Elimu yako ni zile za Kusoma Kwa kukalili ili ufaulu, ila HAUNA INTELLIGENCE YOYOTE .
Soma hapa kwenye Canon Law # 1417
Screenshot_20251228_131924_Google.jpg
 
Ama kweli Heri Nguo kuraruka kuliko Akili.

Ujinga mnaoufanya dhidi ya Catholic ni sawa Kuwaambia VATICAN wawe Serious na Tanzania.

Unaposema VATICAN Kwa Uhuni wako ili uwachafue, ni kusema ULAYA , ni Kuisema MAREKANI .

JE MNATAKA VATICAN iseme nanyi??.

Hivi tujamaa kama tu Ludovich na wahuni wenzie ndio wa KUHANGAIKA na CATHOLIC 🤣.

CATHOLIC hii hii ambayo Utaikuta Mpaka Saudia Arabia, Oman, UAE, Iraq, Syria, Palestine?.


Mwigulu HAUNA AKILI WEWE .

Mwigulu Elimu yako ni zile za Kusoma Kwa kukalili ili ufaulu, ila HAUNA INTELLIGENCE YOYOTE .
Wamemshindwa Gwajima sembuse Catholics
 
Mkuu hujipendei una stress zako .
Waache viongozi wetu, tunaimani kubwa sana na Viongozi wetu.

Udini mkajadili na kitima huko misheni hatutaki habari zako humu jukwani
Soma hapa kwenye Canon Law # 1417
View attachment 3523800
Mijusi kama nyinyi ndio mkikaa na Abdul, Mwigulu, mnapeana Moyo, Tunaweza kulipasua Kanisa, tukomaeni tu, tuanzishe Kampeni Tanzania Nzima, watajirudi tu mezani.

Iko hivi Catholic hawajawahi kushindwa Wala kuyumbishwa.

Hamna Mamlaka Wala MTU Duniani hapa atakayewasumbua Kwa namna yoyote .

Acheni Upumbavu na Ujuha.
 
Ama kweli Heri Nguo kuraruka kuliko Akili.

Ujinga mnaoufanya dhidi ya Catholic,ni sawa Kuwaambia VATICAN wawe Serious na Tanzania.

Unaposema VATICAN Kwa Uhuni wako ili uwachafue, ni kusema ULAYA , ni Kuisema MAREKANI .

JE MNATAKA VATICAN isemwe nanyi??.

Hivi tujamaa kama tu Ludovich na wahuni wenzie, ndio wa KUHANGAIKA na CATHOLIC 🤣.

CATHOLIC hii hii ambayo Utaikuta Mpaka Saudia Arabia, Oman, UAE, Iraq, Syria, Palestine ??.
Mwigulu HAUNA AKILI WEWE .

Mwigulu Elimu yako ni zile za Kusoma Kwa kukalili ili ufaulu , ila HAUNA INTELLIGENCE YOYOTE .
Shuhudia ujinga wa Mwigulu.
 
Mijusi kama nyinyi ndio mkikaa na Abdul, Mwigulu, mnapeana Moyo, Tunaweza kulipasua Kanisa, tukomaeni tu, tuanzishe Kampeni Tanzania Nzima, watajirudi tu mezani.

Iko hivi Catholic hawajawahi kushindwa Wala kuyumbishwa.

Hamna Mamlaka Wala MTU Duniani hapa atakayewasumbua Kwa namna yoyote .

Acheni Upumbavu na Ujuha.
😂😂😂 Ila we jamaa bwana
 
Mijusi kama nyinyi ndio mkikaa na Abdul, Mwigulu, mnapeana Moyo, Tunaweza kulipasua Kanisa, tukomaeni tu, tuanzishe Kampeni Tanzania Nzima, watajirudi tu mezani.

Iko hivi Catholic hawajawahi kushindwa Wala kuyumbishwa.

Hamna Mamlaka Wala MTU Duniani hapa atakayewasumbua Kwa namna yoyote .

Acheni Upumbavu na Ujuha.
Kama hawasumbuki unaweweseka nini? Waache basi wajitetee wenyewe,
Watu wanamsema na kumlaumu Mungu itakuwa hao?
 
Wakikosea wataambiwa, kama wamewabana wa nje watatoka wa ndani na kusema maovu yao
 
Ama kweli Heri Nguo kuraruka kuliko Akili.

Ujinga mnaoufanya dhidi ya Catholic,ni sawa Kuwaambia VATICAN wawe Serious na Tanzania.

Unaposema VATICAN Kwa Uhuni wako ili uwachafue, ni kusema ULAYA , ni Kuisema MAREKANI .

JE MNATAKA VATICAN isemwe nanyi??.

Hivi tujamaa kama tu Ludovich na wahuni wenzie, ndio wa KUHANGAIKA na CATHOLIC 🤣.

CATHOLIC hii hii ambayo Utaikuta Mpaka Saudia Arabia, Oman, UAE, Iraq, Syria, Palestine ??.
Mwigulu HAUNA AKILI WEWE .

Mwigulu Elimu yako ni zile za Kusoma Kwa kukalili ili ufaulu , ila HAUNA INTELLIGENCE YOYOTE .

Dini kama katoliki ina wasemaji wake makini(Maaskofu); sasa wewe hata kanisani hawakutambui ndio unajiona umekuwa mtetezi wa kanisa kubwa kama Katoliki?
Acha kupotosha kwa kuandika habari za kanisa huku unatukana tukana!!!
 
Zero brain in Gwajima's voice. Huwezi wao umefikia hapo.
 
Mkuu hujipendei una stress zako .
Waache viongozi wetu, tunaimani kubwa sana na Viongozi wetu.

Udini mkajadili na kitima huko misheni hatutaki habari zako humu jukwani
kunaidadi kubwa ya vijana walemavu wa akili kulinganisha na walemavu wa viungo
 
Back
Top Bottom