Hivi prof. Beno Ndullu unasubiria press release ya Ikulu hata kwa hili ?

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,525
50,262
Gavana prof Beno Ndullu, heshima kwako mzee. Kwa nilivyoisoma lugha ya mwili ya mh rais jana alitamani akutumbue palepale hadharani. Lkn nadhani kuna sauti za ushauri aliyopewa na washauri wake huko nyuma kwamba asitumbue tena mtu hadharani hasa mhusika akiwepo zilimzuia kufanya hivyo.

Ushauri wangu kwako prof Ndullu, muwahi huyu mheshimiwa kabla hajairusha barua yako saa sita za usiku ukiwa wewe unaota kukikalia kiti chako asubuhi yake. Alizishutumu PhD 11 zilizopo pale BoT zikiongozwa na ww, zilizozembea kusajiri dhahabu. Unadhani atakuacha ?

Ni ushauri tu prof.
 
Gavana prof Beno Ndullu, heshima kwako mzee. Kwa nilivyoisoma lugha ya mwili ya mh rais jana alitamani akutumbue palepale hadharani. Lkn nadhani kuna sauti za ushauri aliyopewa na washauri wake huko nyuma kwamba asitumbue tena mtu hadharani hasa mhusika akiwepo zilimzuia kufanya hivyo.

Ushauri wangu kwako prof Ndullu, muwahi huyu mheshimiwa kabla hajairusha barua yako saa sita za usiku ukiwa wewe unaota kukikalia kiti chako asubuhi yake. Alizishutumu PhD 11 zilizopo pale BoT zikiongozwa na ww, zilizozembea kusajiri dhahabu. Unadhani atakuacha ?

Ni ushauri tu prof.
We nae unandika utumbo gani huu?!
 
Sasa Benno Ndulu anahusikaje?
kama hakuna sheria inayotaka makampuni ya madini kuwasilusha rekodi zao BOT
yeye afanyaje?

Aagize polisi wakalazimishe?
 
Tunalalamika wasomi hamna ila mbaya zaidi waliokuwepo wanakuwa madalali wa nchi yao. Hakukosea Trump kusema Africa inahitajika tena miaka 100 ya ukoloni
 
Beno, Beno, acha hiko barua haraka kama wewe si mchumia tumbo. Ukizubaa kupekeleka barua ikulu ya kujiuzulu utampatia kiki jamaa wa chattle sasa hivi. Muulize muhongo, barua yake ya kujiuluzu imepishana na press release ya kufuzwa getini.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom