Kuna baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wamesambazwa katika baadhi ya vyuo wanaitwa mama salma eti waadhilika wanalipiwa ada na salma kikwete nimeuliza nikaambiwa ni kweli sasa naomba udhibitisho nawasilisha
Jamani, sikujua kuwa humu kwenye jamvi kuna watu wanaoweza kuthubutu kuandika maneno haya. Tunaonekana wasomi, wenye uelewa mzuri na uwezo wa kuirekebisha jamii. Kama mawazo ya wengine ni haya, basi ipo kazi
Kuna baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wamesambazwa katika baadhi ya vyuo wanaitwa mama salma eti waadhilika wanalipiwa ada na salma kikwete nimeuliza nikaambiwa ni kweli sasa naomba udhibitisho nawasilisha