Ndugu zanguni mimi niko chuo kimojawapo mkoani morogoro. kuna binti niliyetokea kumzoea then nikafall in love nika mweleza akasemahaiwezekani coz she is in love ready nikatulia ila bado mazoea yakaendelea kuwepo. mwaka wa kwanza ukaisha akiwa kabalisha wanaume vya kutosha. second year mimi nikaamua kuwa mbali nae coz tabia zake sikuzipenda. ameanza kulalamika kupitia kwa rafiki zangu akinituhumu kuwa mimi ndo sieleweki na hapo ni baadaya kutoswa kote alikokuwa na kila ankojipendekeza anatoswa. sawa mimi still sina mtu lakini nakuwa na hofu kuwa naye coz hajielewi na hana future. niambieni wadau nifanye nini???????????