Hivi NATO, umoja wa walimu wasio na ajira walifikia wapi hawa vijana?

Hivi NATO, umoja wa walimu wasio na ajira walifikia wapi hawa vijana?

Wakuu -miezi kadhaa nyuma waliibuka vijana wakijiita NETO wakisema ni umoja wa vijana wasio na ajira.

Ningependa kujua wako wapi , na wamefikia wapi?
Umenikumbusha wimbo wa Joh_makini unaitwa NIAJE NI VIPI

Kuna stanza jo anasema ULIZIA PESAA WAKUZIME KAMA TAA.. ( pesa ndiyo elimu pekee isiyo hitaji hata TUTION 😃

Ccm waliwaogopa NETO ndio maana kuna Vijana walitekwa na kupotezwa na wengine wali itwaga DODOMA WAKALAMBIASHWA ASALI.

KAKA KWA KUMALIZIA HAKUNAGA UMOJA KWENYE NJAA "" YAANI UMOJA KWENYE NJAA HUWA HAUDUMU" kaka utakula hata kitimoto JUUU alafu tuna mswalia mtume maisha yana songa nilicho jifunza CCM na serikali Yake ni limashinery LIKUUBWAAA mnoo ila tuombe uzima kaka.
 
Umenikumbusha wimbo wa Joh_makini unaitwa NIAJE NI VIPI

Kuna stanza jo anasema ULIZIA PESAA WAKUZIME KAMA TAA..

Ccm waliwaogopa NETO ndio maana kuna Vijana walitekwa na kupotezwa na wengine wali itwaga DODOMA WAKALAMBIASHWA ASALI.

KAKA KWA KUMALIZIA HAKUNAGA UMOJA KWENYE NJAA "" YAANI UMOJA KWENYE NJAA HUWA HAUDUMU" kaka utakula hata kitimoto JUUU alafu tuna mswalia mtume maisha yana songa nilicho jifunza CCM na serikali Yake ni limashinery LIKUUBWAAA mnoo ila tuombe uzima kaka.
Hakika mkuu njaa haina baunsa
 
Huo ndiyo ukweli mchungu, kwasababu walichokoza nyuki kwenye mzinga, ndiyo maana waliitwa chap na Simbachawene Dodoma,na kelele zao zikaisha rasmi
Umenikumbusha wimbo wa the late Albert mangwea _ maskini wenzangu.

Kwenye moja ya stanza anasema lete mgomo baridii uijue serikali.. embu muulize ulimboka umuhimu wa madaktari.

Huwezi kuwasikia tena

Acha kabisa...mzinga wa nyukii hauchezewii
 
Umenikumbusha wimbo wa the late Albert mangwea _ maskini wenzangu.

Kwenye moja ya stanza anasema lete mgomo baridii uijue serikali.. embu muulize ulimboka umuhimu wa madaktari.

Huwezi kuwasikia tena

Acha kabisa...mzinga wa nyukii hauchezewii
Shida nyingine ni wale unaowapigania,hawana msaada wowote hata ukiwahitaji........sasa kwanini ujisumbue?
 
Back
Top Bottom