..Mwaga Ugali nimwage Mboga...Habarini Wadau,
Nappe ana mtindo sawa kabisa na Mwigulu Nchemba
Kuna picha ambayo Mwigulu Nchemba alipigwa (aliamua kupigwa) akiwa anamkamua maziwa Ng'ombe aliyekonda sanaaa bila kumuonea huruma.
Hali Kadhalika ukiingia katika twitter profile ya Nappe utakutana na picha nyingi zenye ujumbe mbalimbali lakini isiyo open sana
Kuna picha amepost ya kicheche akifurahi na kisha akaandika
''Hamjiulizi Ninajuaje ya Huko? ''
Picha nyingine hii hapa chini naamini nayo ina ujumbe, Mtu amekusudia kumuua mwenzie kwa kumnyonga ilihali wote wana vitanzi, lakini je ni yupi atakayekufa?
CCM Hoyeee...!
View attachment 1152773
Leo amekua akili kisoda kweli dunia inalizunguka jua.Nape bichwa kubwa akili kisoda ,tangu apigwe chini anaonesha chuki ya wazi
Nape bichwa kubwa akili kisoda ,tangu apigwe chini anaonesha chuki ya wazi
Huwa nachukia sana walioporwa wanapoona kuwa mmoja wa majambazi waliowapora ana nafuu kwa kuwa tu baada ya kuwapora aliwaimbisha wimbo wa Taifa!!
Anaweza kuwa anakataliwa na wanachama wenzake mafisadi!! Kwa hiyo hiyo picha haititishi saana!!Kuna malofa wanadai eti magufuli anakubalika na watanzania Kwa 90% huku ndani ya chama chake akikataliwa Kwa 100%
Nape bichwa kubwa akili kisoda ,tangu apigwe chini anaonesha chuki ya wazi
Unapiga vita wapiganaji wako bila ya kujua uwepo wao ndio salama yako
Hata kanumba alikuwa the greaterLissu the GREAT aliwaonya kwamba akimalizana na sisi atawageukia nyie. Sasa yametimia inakula kwenu. Chezeya nduli na dikteta Mkuu.
Lissu the GREAT aliwaonya kwamba akimalizana na sisi atawageukia nyie. Sasa yametimia inakula kwenu. Chezeya nduli na dikteta Mkuu.
Ishu sio kafanikiwa akiwa kijana ishu ni uzeeni na tayari amenyea kambi,Akili kisoda lakin kafanikiwa kimaisha kuliko wewe isack Newton wa JF
I love you 😘Akili kisoda lakin kafanikiwa kimaisha kuliko wewe isack Newton wa JF