Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 25,860
- 33,469
Habarini Wadau,
Nappe ana mtindo sawa kabisa na Mwigulu Nchemba
Kuna picha ambayo Mwigulu Nchemba alipigwa (aliamua kupigwa) akiwa anamkamua maziwa Ng'ombe aliyekonda sanaaa bila kumuonea huruma.
Hali Kadhalika ukiingia katika twitter profile ya Nappe utakutana na picha nyingi zenye ujumbe mbalimbali lakini isiyo open sana
Kuna picha amepost ya kicheche akifurahi na kisha akaandika
''Hamjiulizi Ninajuaje ya Huko? ''
Picha nyingine hii hapa chini naamini nayo ina ujumbe, Mtu amekusudia kumuua mwenzie kwa kumnyonga ilihali wote wana vitanzi, lakini je ni yupi atakayekufa?
CCM Hoyeee...!
Nappe ana mtindo sawa kabisa na Mwigulu Nchemba
Kuna picha ambayo Mwigulu Nchemba alipigwa (aliamua kupigwa) akiwa anamkamua maziwa Ng'ombe aliyekonda sanaaa bila kumuonea huruma.
Hali Kadhalika ukiingia katika twitter profile ya Nappe utakutana na picha nyingi zenye ujumbe mbalimbali lakini isiyo open sana
Kuna picha amepost ya kicheche akifurahi na kisha akaandika
''Hamjiulizi Ninajuaje ya Huko? ''
Picha nyingine hii hapa chini naamini nayo ina ujumbe, Mtu amekusudia kumuua mwenzie kwa kumnyonga ilihali wote wana vitanzi, lakini je ni yupi atakayekufa?
CCM Hoyeee...!