Hivi nani katuroga jamani.

ndayilagije

JF-Expert Member
Nov 7, 2016
7,491
8,295
Tumeambiwa sisi ni nchi ya top ten toka mwisho kwa furaha. Hilo halishangazi sana,kinachonishangaza ni hii tabia ya kushabikia vitu vya ajabu ajabu.Hivi tunategemea kupata furaha kwa kushabikia ujinga?
Yaani ukijua aibu ya mtu,au taabu na dhiki ya mtu tunaifurahia sana.
Tatizo liko wapi wenzangu,inakufaa nini kumcheka mtu,inakuongezea nini kusikia flani kafirisika, fulani kaachwa,au kafukuzwa kazi !!!
Unapata faida gani sasa!
Tutaendelea kukosa furaha mpaka kiama.
Mtu hata humjui sasa mateso au aibu zake wewe za nini?
Furaha tuwaachie wafini tu bwana maana wanajitambua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom