Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,823
- 10,949
Watanzania hatuja hamia digital ki fikra bado tupo analogy.Modern abattoir zinatumia mashine wala hilo swala la dini halipo.Tujiangalie tutazame mbali zaidi hili swala lisitufikishe mbali kiasi tukasahau maswala ya muhimu kwa mustakabal wa taifa letu.