NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
- Thread starter
- #81
Anatukaniwa mama yake lzm alie na nguvu zinamuisha
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Anatukaniwa mama yake lzm alie na nguvu zinamuisha
NALIA NGWENA nimekua nikisikiliza mawaidha lakini nimestaajabishwa na habari za Ngamia baada ya kusikia shehe akitoa mawaidha na kutolea mfano Ngamia kulia anaposomewa maneno (Dua) na Kisha kuelekea kibra na kuchinjwa.
Nauliza Ngamia huambiwa Nini mpaka Alie (atoe machozi) na hao wachinjaji??
Na Kama Kuna mtu alishawahi kushuhudia Ngamia akichinjwa aje hapa atuthibitishie.
Nawasilisha swali.
Kwa mujibu wa biblia Mambo ya walawi inaelezea ni aina ya wanyama gani hatupaswi kuwala
Chai.Na ukiona huyo Ngamia anaombewa na anatoa hivyo hayo Machozi jua hao Wanaomuombea ni Wasafi hasa Kiimani na hawana baya kwa ( Allah ) Mwenyezi Mungu.
Kuna Ngamia Mmoja alinunuliwa kutokea Lamu Kenya na Kuombewa na Masheikh wa Msikiti wa Londa Kawe na mpaka Asubuhi ya Kuchinjwa hakulia au kutokwa hayo Machozi ndipo hao Masheikh wakaumbuliwa kuwa ni Wachafu ( wana Dhambi nyingi ) na haraka sana Sheikh kutoka Zanzibar akakatiwa upesi Tiketi ya Ndege na kuja Kumuombea ambapo alipofika tu na kupiga Dua ndani ya Saa Moja Ngamia alianza Kukaa chini kisha Kutokwa na Machozi na Kufa rasmi.
Yaani Sheikh kila Siku anapishana Gesti na Loji na GENTAMYCINE ( kwenda na kutoka Kubandua Mademu ) huku baadhi yao wakiwa ni TEAM KWA MPALANGE halafu leo ndiyo awe na Ubavu wa Kiimani wa Kumuombea Ngamia kabla ya Kuchinjwa?
Tuletee iyo hadithi inosema ivoMkojo wa Ngamia ni Dawa kwa mujibu wa mtume.
Mhhh?GENTAMYCINE kuna msikiti fulani Chamwino Morogoro walifosi kumchinja ngamia bila idhini yake, matokeo yake wote waliokula nyama waliharisha vibaya.