assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Mimi naona mission na vision za chadema hazieleweki. Leo wanakuwa na msimamo huu kesho wanabadilika. suala la kuendesha nchi linafaa kuwa na sera zinazoeleweka. Chadema sasa inakuwa na sera za matukio.
Mfano tutapiga vita ufisadi kisha hela za ufisadi zitaendeleza wananchi bila kujua wizi wa kisomi ni ngumu sana kuthibitisha mahakamani
kufanya maandamano yasio na tija. Kukataa kuunganika na vyma vingine tena kwa kashfa lakini ghafula tunawaona jangwani wakikenua meno.
Chama cha siasa lazima kiaminike na kiwe na mission na vision ila kwa chadema wamekua na sera za matukio hivo kukosa political credibility kuwakabidhi nchi yetu yenye amani na utulivu.