Hata kama tunaona aibu ndo mtuseme hivyo?? Mbona kuna watu hapo Dar wana miaka 10 hawajakanyaga vijijini kwao kwa kuona aibu hiyo hiyo!!!!!!!!!!! Hiyo imekaaje??? Vipi walioko Mwanza au Arusha ambao hawajawahi kukanyaga vijijini kwao??? Jamani tuvumiliane tu na kutiana moyo kila mtu ana malengo yake, katika kukabiliana na hizi changamoto za maisha
wanaona aibu! Kuna jamaa yangu sasa ni mwaka wa 8 tokea aondoke hapa tz kwa gear za summer camp, huwa tunachat kwenye skype nikimuhadisia kila jamaa aliyemuacha hapa tz ana nyumba/gari/kazi nzuri na wameoa akiwepo mimi jamaa kashaniambia mbona yeye tokea aondoke hela hazijai? Na pia anauliza tumepataje hela? Aisee jamaa kashakata tamaa ya kuja kwakua anaona aibu ile mbaya!
Hata kama tunaona aibu ndo mtuseme hivyo?? Mbona kuna watu hapo Dar wana miaka 10 hawajakanyaga vijijini kwao kwa kuona aibu hiyo hiyo!!!!!!!!!!! Hiyo imekaaje??? Vipi walioko Mwanza au Arusha ambao hawajawahi kukanyaga vijijini kwao??? Jamani tuvumiliane tu na kutiana moyo kila mtu ana malengo yake, katika kukabiliana na hizi changamoto za maisha
Wanaona aibu! Kuna jamaa yangu sasa ni mwaka wa 8 tokea aondoke hapa TZ kwa gear za Summer Camp, huwa tunachat kwenye Skype nikimuhadisia kila jamaa aliyemuacha hapa TZ ana nyumba/gari/kazi nzuri na wameoa akiwepo mimi jamaa kashaniambia mbona yeye tokea aondoke hela hazijai? na pia anauliza tumepataje hela? Aisee jamaa kashakata tamaa ya kuja kwakua anaona aibu ile mbaya!
Hata kama tunaona aibu ndo mtuseme hivyo?? Mbona kuna watu hapo Dar wana miaka 10 hawajakanyaga vijijini kwao kwa kuona aibu hiyo hiyo!!!!!!!!!!! Hiyo imekaaje??? Vipi walioko Mwanza au Arusha ambao hawajawahi kukanyaga vijijini kwao??? Jamani tuvumiliane tu na kutiana moyo kila mtu ana malengo yake, katika kukabiliana na hizi changamoto za maisha
tanzania kila mtu ni mwizi, mmeona ujanja kuwa wezi na kujisifia mnapesa, huku tunakwenda na system za maisha. Sasa huko bongo ukiwa unafanyakazi ujanja ni kuiba ndio upate sifa na usifiwe kuwa una hizo pesa mnazojisifia, ufisadi kila sehemu na mafanikio ya kuendelea nchi ni ndoto. Jirekebisheni kwanza tabia zenu za wizi na mlionee huruma taifa. Hata wewe pdidy hapo kwenye huo uwanja wenu wa ndge unaonuka mimavi pia mnaibia abiria. Sirudi mpaka mjirekebeshe hizo tabia zenu chafu za wizi.
Tanzania kila mtu ni mwizi, mmeona ujanja kuwa wezi na kujisifia mnapesa, huku tunakwenda na system za maisha. Sasa huko Bongo ukiwa unafanyakazi ujanja ni kuiba ndio upate sifa na usifiwe kuwa una hizo pesa mnazojisifia, ufisadi kila sehemu na mafanikio ya kuendelea nchi ni ndoto. Jirekebisheni kwanza tabia zenu za wizi na mlionee huruma taifa. Hata wewe Pdidy hapo kwenye huo uwanja wenu wa ndge unaonuka mimavi pia mnaibia abiria. Sirudi mpaka mjirekebeshe hizo tabia zenu chafu za wizi.
ukinijibu hili ntaacha
baba yetu alipata wapi hela za tkt kukupeleka huko Kwa mshahara wa 400,000/=kipindi hicho hata mikopo serikalini aipo,ngo azijaanza kama leo hii,ningejua umeingizwa kwenye group la wanaoumwa ukatibiwe marekani,,nk jiulize mara mbili mbili baba yako zile pesa za ku survive wiki kadhaa alizitoa wapi??then anipe na akili ya kuacha hako kamchezo
Tutarudi kusalimia kwa kuwa ni nyumbani, lakini [COLOR=#ff0000][B]kuishi Tz kabisa kwataka moyo[/B][/COLOR].
Sasa mkuu namibia si kama tz tu..mi nilijua ngogo zote uko kwenye hewa safiiiiiii anyway....bado nakuitaji mpwa ukiacha yotee hizo tulizochangiana ni kutiana tu moyo mwisho wa siku tukutane dia hata kwa pp
wape hi wote mpwa wangu