mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Chama Cha Mapinduzi kinasifika kwa sera za kulindana maarufu kama mwenzetu. Hali ilivyo ni kwamba ule moto wa jana wa 'kujiuzulu' saba unaendelea kuzimika. Je ikitokea jamaa wakafanya kama walivyozoea, kulindana, kama watanzania tutafanya nini?Je bunge letu litakuwa na heshima tena? Je tutavumilia au kwenda Taharir kama wenzetu wa Misri ambao wamerejea uwanjani kuhakikisha serikali ya kijeshi inaondoka?