Hivi LUKU imepanda?

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,707
Reaction score
1,729
Wakuu, nina kawaida ya kununua umeme mara mbili kwa mwezi kwa jumla ya sh 20,000/= (10,000/= mara mbili).

Mwezi uliopita nilipata 'units' 25.2 ila leo nimepata 'units' 24.7 ninesituka kwani sijasikia umeme ukipanda, au nimepitwa na wakati?

 
Wafuate kule kwenye uzi wao yawezekana ukapata jibu kwa muda muafaka
 

Boss huoni kwamba hapo wamekukata 1000 ya hela ya kodi ya pango ndio maana umepewa units 24.7?
 
Itakuwa ndio umenunua kwa mara ya kwanza kwenye huu mwezi.

Kila mwezi huwa wanakata 1000 kama tozo ya pango.

Kwahiyo manunuzi yako ya kwanza ya umeme kwenye mwezi husika, huwa wanakata 1000.
 
Itakuwa ndio umenunua kwa mara ya kwanza kwenye huu mwezi.

Kila mwezi huwa wanakata 1000 kama tozo ya pango.

Kwahiyo manunuzi yako ya kwanza ya umeme kwenye mwezi husika, huwa wanakata 1000.
Hilo nalifahamu sana mkuu ila leo nimepata jibu kuwa ukinunua kwenye baadhi ya mitandao/benki utapata maumivu kama haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…