Utakuta ukiwa ofisi fulani unadharaulika sana na kupigwa danadana kibao kupata huduma.
Sasa aje mzungu, utaona wenye ofisi wanavyobabaika kumchangamkia na kujitabasamisha na broken kibao!
Nimejiuliza hali hii ni Colonial hangover, kutojiamini, kujipendekeza au ulimbukeni?!
Huko kwao hutakaa ukutane na huu upuuzi.
Sasa aje mzungu, utaona wenye ofisi wanavyobabaika kumchangamkia na kujitabasamisha na broken kibao!
Nimejiuliza hali hii ni Colonial hangover, kutojiamini, kujipendekeza au ulimbukeni?!
Huko kwao hutakaa ukutane na huu upuuzi.