Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hivi hampatagi casualities za wanawake waliokuwa wamefanya attempt za kuwabeba wanaume mgongoni kuwapeleka bafuni?
Nilishawahi kuuliza na ninauliza tena, mbona costal areas -Bagamoyo, Pwani, Tanga, Mombasa ndio wanasifika kwa mauno, halafu sie akina kyekue tunasifika kwa kuwa magogo?.
Nilishawahi kuuliza na ninauliza tena, mbona costal areas -Bagamoyo, Pwani, Tanga, Mombasa ndio wanasifika kwa mauno, halafu sie akina kyekue tunasifika kwa kuwa magogo?.