Hivi kwanini wanawake wa Tanga, Bagamoyo, Pwani wanasifika kwa mauno kitandani?

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Hivi hampatagi casualities za wanawake waliokuwa wamefanya attempt za kuwabeba wanaume mgongoni kuwapeleka bafuni?:):):):):D

Nilishawahi kuuliza na ninauliza tena, mbona costal areas -Bagamoyo, Pwani, Tanga, Mombasa ndio wanasifika kwa mauno, halafu sie akina kyekue tunasifika kwa kuwa magogo?.:cool::cool::cool::cool::cool:
 
Aiii hao balaa wanajituma kinoma unamgeuza utakavyo like o, p, n, q aisehhh sio wavivu kabisa ukiwa nao ata nje hutoki kazi yako ni kulala tu baada ya shughuli

ndio maana nashangaa wanawakee wa kanda ya ziwa kama majongooo
 
Yaani kukicha mtu kichwani ni ngono tu. Kwani mke kazi yake ni hapo kitandani tu. Yaani watanzania tubadilike. Mkeo hat akiwa gogo as long as mnapendana mnafundishana na ndiyo maana ya ndoa si kuogopana. Aiseee kitanda siyo maendeleo. Watu tunakimbiza shilingi wengine wanawaza vitanda na kubebwa mgongoni. Then what??
 
Na ndiyo maana mianamke ya huko iko too dependent kwa wanaume. Yaani kichwani ni kuwaza mangono tu. Mwanamke ni upstairs Bwana. Ndiyo maana tukifikia kuona tunaoa mke yaani mama wa watoto na maendeleo regardless of whatever!!!
 
nifafanulie
Nilikua nauliza hospital za tanga hawapati wagonjwa waliotenguka viuno kwa kujaribu kuwabeba wanaume wao kuwapeleka bafuni...(wanawake wa Tanga wanasifika kwa kuyaenzi mapenzi,moja ya sifa zao ni kuwabeba wapenzi wao kuwabeba na kuwapeleka bafuni... I hope this helps
 
Nilikua nauliza hospital za tanga hawapati wagonjwa waliotenguka viuno kwa kujaribu kuwabeba wanaume wao kuwapeleka bafuni...(wanawake wa Tanga wanasifika kwa kuyaenzi mapenzi,moja ya sifa zao ni kuwabeba wapenzi wao kuwabeba na kuwapeleka bafuni... I hope this helps
WANAUME WA SAIZI SIO WAZITO UNAJUA......:D:D:D:D:D:D
 
Nilikua nauliza hospital za tanga hawapati wagonjwa waliotenguka viuno kwa kujaribu kuwabeba wanaume wao kuwapeleka bafuni...(wanawake wa Tanga wanasifika kwa kuyaenzi mapenzi,moja ya sifa zao ni kuwabeba wapenzi wao kuwabeba na kuwapeleka bafuni... I hope this helps

Umewaza kama wa stendi anavyowazaga!
 
Back
Top Bottom