- Thread starter
- #21
ongea nae kwa upole mtafute suluhu,kama ni kazi mtafute wote nyengine,vunja ukimya hii kupeana cold shoulders haisaidii tafuta siku na mahali pazuri uongee naye yote yanayokusibu,ukijidai unamtishia au unamnunia ndivyo swala litakuwa zito zaidi,mmeshaambiwa ishini na sisi wanawake kwa akili ndio kama hivi...pole mkuu
ninakusukuru sana dada hata hivyo nimetumia akili nauvumilivu maana sijachukua hatua yoyote yaidi ya kuomba ushauri na tayari mishapata kumbe natakiwa kuvunja ukimya nakushukuru sana