Pac-Man
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 465
- 737
Habari wakuu
Hivi kuna watu wapo tu. Yeye akiamka anaenda zake kazini, hana chochote anacho kiamini au kukiabudu. Na akirudi anaendelea na mambo yake.
Yani MWEUPE hamna chochote kuhusiana na dini.
Nembo za Kidini:
1.: Ukristo - Uyahudi - Uhindu - Nyota ya Baha'i
2.: Uislamu - Msalaba wa Kikelti - Falsafa ya China-Korea - Shinto
3.: Ubuddha - Usikhi - Ujaini - Ujaini
4.: Ayyavali - Upagani mpya - Msalaba wa chuma - Msalaba wa Kislavoni
Hivi kuna watu wapo tu. Yeye akiamka anaenda zake kazini, hana chochote anacho kiamini au kukiabudu. Na akirudi anaendelea na mambo yake.
Yani MWEUPE hamna chochote kuhusiana na dini.
Nembo za Kidini:
1.: Ukristo - Uyahudi - Uhindu - Nyota ya Baha'i
2.: Uislamu - Msalaba wa Kikelti - Falsafa ya China-Korea - Shinto
3.: Ubuddha - Usikhi - Ujaini - Ujaini
4.: Ayyavali - Upagani mpya - Msalaba wa chuma - Msalaba wa Kislavoni