Ana umri wa miaka 30 na kafika ughaibuni kwa miaka miwili sasa.
Naombeni ushauri wenu kuhusu hili Wana JF. Nina mke ambaye kwa kweli nampenda sana na nilimkuta akiwa bado Kigori, mara ya kwanza alikuwa anachukua muda mfupi sana kufikia kilele lakini hivi karibuni amekuwa akikawia sana. Ni juzi tu kanitumia link ya porn site anasema huwa mara ingine anajifunza kitu humo nikahisi yawezekana ndiyo inayomfanya kwa sasa achelewe sana vile pengine tunapokuwa faragha yeye huwaza pics alizoziangalia kule. Je hili mnalionaje wanajf litamjenga au litambomoa? naomba ushauri wenu.:frusty:
Nashukuru mkuu, nimekupataMsome vizuri mkeo tena kwa taratibu, anakosa ujasiri wa kukueleza ni mapenzi gani mufanye ili afike kileleni mapema, ameaona njia ni kukutumia porno. ushauri wangu ni wewe kukakaa naye kwa upole na kwa lugha ya mapenzi muulize how you can sastify her. atakueleza mikao inayompagawisha, baada ya hapo mshauri aachane na porno zitakuja vunja ndoa yenu.
Sometimes na wewe jifunze kuchelewa kufika ili mfike pamoja maana DAWA YA MOTO NI MOTO
Mkuu hujapata solusheni hadi sasa? % kubwa wanakwambia usilemae na kumwacha achukue maamuzi usiyopenda. Wakati fulani nikiwa singo nilipenda porn ila nilipoopoa nilizisahau kwani yeye alikuwa porn site yangu tosha.
ras kwani wewe una opinion gani kuhusu porn? Kama hupendi basi make sure she knows tht you totally condemn porn....just a thought hivi wanaume wasiku hizi wamekuwaje? :twitch:be a man if you dont like what she is doing then stop her!!! ) otherwise kama unaona ni kawaida mwache aendelee muulize anajifundisha nini kwenye porno? (what on earth u can learn from th sht? )
tatizo hili mnaweza mkawa mmelimaliza kwa sasa, lakini kama ni mwepesi hivyo wa kupokea inflluence kutoka nje, mtapata tabu kwenye mambo mengine.
Inabidi hapa mkeo aweze kuwa na misimamo binafsi au mtayumba kila leo kwa mambo yanayopita na kusemwa nje.