Hivi kuna duka au sehemu maalum wananunua simu zilizotumika?

Sehemu wanazonunua used simu ni kwa mafundi simu ambao wapo sehemu kubwa ya jiji. Vile vile unaweza kucheck na maduka ya kariakoo kwani wao mara nyingi huwa wanauza used simu ambazo wameziweka cover mpya na zinaonekana kama mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…