sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,565
- 11,479
Ukiona hivyo ujue priorities zimeshatatuliwa..Mengine kama ujenzi wa uwanja wa nduli ni nyongeza tu..Anaiywa JOSEPH LEONARD HAULE anafahamika kama PROF J, ni mbunge anaye ongoza binadamu na wanyama kutoka mbuga za mikumi,
Jamaa alipewa dakika moja akashuka shida zote majungu akaweka pembeni,
aliomba maji, bara bara, wastafu wa kiwanda cha sukari walipwe stahiki zao n.k
magu ikabidi ampe air time nyingine ya kuburudisha umati,
msigwa yeye alivyo mpuuzi akakaria kuongea mashudu kana kwamba wananchi wa iringa hawana kero na shida zingine,
sasa mbunge kama huyu kwa kweli kawakosea wananchi kwa kutokueleza kero zao kwa mh raisi baada ya kupewa nafasi.