Ukiangalia mifumo ya dunia mingi ni universal, lakini hali ni tofauti kwenye uendeshaji wa magari!
Kuna nchi unaendesha kushoto, nyingine kulia, nisichoelewa ni kipi kilisababisha wasikubaliane wote tuendeshe upande mmoja? Leo hii ukitembelea mathalan US si utapata changamoto barabarani?
Sehemu kubwa ya ulimwengu huendesha upande wa kulia wa barabara. Lakini karibu nchi 76 hutumia side ya mkono wa kushoto. Kitendo hicho kinaaminika kuwa kilianzia Roma ya kale.
Warumi waliongoza mikokoteni na magari yao kwa mkono wa kushoto, ili kuweka huru upande wa kulia ili waweze kutumia silaha kujilinda dhidi ya mashambulizi ya adui.
Hivyo tu mkuu.hamna kingine....kwahiyo huu ni urithi wa enzi na enzi ukizingatia sana kwa nchi zilizotawaliwa na muingereza hasa kwenye final touch colonialism.
Sisi tuliiga kwa Muingereza.
Amerika walitaka kutofautiana na muingereza kwenye vitu vingi tu hata kwenye umeme nk.
Japan waliajiri waingereza kuwajengea reli. Treni zikawa zinapita kushoto.
Walivyoanza kutengeneza magari, wakafuata mfumo wa reli.
Sisi tuliiga kwa Muingereza.
Amerika walitaka kutofautiana na muingereza kwenye vitu vingi tu hata kwenye umeme nk.
Japan waliajiri waingereza kuwajengea reli. Treni zikawa zinapita kushoto.
Walivyoanza kutengeneza magari, wakafuata mfumo wa reli.
Kama vipi na sie tubadili tuhamie kulia ili tuwe tunapata used za ulaya na marekani kiurahisi. Gari nyiiingi nzuri tu zinaishia junkyard kusagwasagwa na maindustrial crusher, kama screpa tena kuwa vyuma.
Nadhani soko la magari yao likiongezeka tutapata gari nyingi zaidi used. Lakini hata hizo mpya, sasa tutakuwa na machaguo ya kutosha kwa kampuni za kila nchi. Machaguo yakiongezeka, supply inaongezeka na bei kiotomati itashuka tu. Way to go fellas!
Sio kila nchi ilianza na upande wa kulia, ni suala tu la na sie kujiamulia tu. Tunaswitch. Halafu wabongo mnaogopa mabadiliko au ni nini. Kuanzia siasa hadi dini watu wanashikiliiiiiiiiiiiiiiiiiiiia aaaaaargh