Hivi kila sayari ina Mungu wake,Shetani wake,Mitume yake na Qiyama chake?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
20,103
26,155
Wakuu nimekuwa sielewi kuhusu hichi kitu

Naomba mnijibu haya maswali

1)Hivi kila sayari mwisho wake (Qiyama chake) ni siku moja na dunia??

2) Je wanaopaswa kwenda motoni ni binadamu na majini pekee??

3) Kama ni binadamu na majini sababu kuu ni nini ?kwani viumbe vingine navyo si vimeumbwa ila vimuaabudu Mungu kwa nini wao wasiwe included??

4)Je sayari nyingine nazo zina mitume na manabii??

5)Je majini yanaweza kwenda kuishi kwenye hizo sayari kama wanavyoishi huku duniani??
 
Mimi kwa upande wangu nadhani hili swali ni matokeo ya fikra fulani. Au umesoma mahali fulani, au hata kuulizwa. Sasa hiyo fikra ndio tunaita "tatizo". Kwa hiyo ili kupata majibu ya swali lako, ni vizuri ukasema tatizo ni nini. Hiyo fikira imetoka wapi?
 
Swali zuri sana ila huwezi pata majibu hapa

Wakuu nimekuwa sielewi kuhusu hichi kitu

Naomba mnijibu haya maswali

1)Hivi kila sayari mwisho wake (Qiyama chake) ni siku moja na dunia??

2) Je wanaopaswa kwenda motoni ni binadamu na majini pekee??

3) Kama ni binadamu na majini sababu kuu ni nini ?kwani viumbe vingine navyo si vimeumbwa ila vimuaabudu Mungu kwa nini wao wasiwe included??

4)Je sayari nyingine nazo zina mitume na manabii??

5)Je majini yanaweza kwenda kuishi kwenye hizo sayari kama wanavyoishi huku duniani??
 
Umeuliza maswali ya msingi sana... Hawawezi kukuambia ukweli kwa sababu hawataki ujue ukweli...


Wanataka uendelee kuwa muoga na wakutawale kwa kila kitu..


Hawa watu wadogo wadogo hawawezi kukujibu hayo maswali utayapata kwa wanayoiendesha dunia..
 
Wakuu nimekuwa sielewi kuhusu hichi kitu

Naomba mnijibu haya maswali

1)Hivi kila sayari mwisho wake (Qiyama chake) ni siku moja na dunia??

2) Je wanaopaswa kwenda motoni ni binadamu na majini pekee??

3) Kama ni binadamu na majini sababu kuu ni nini ?kwani viumbe vingine navyo si vimeumbwa ila vimuaabudu Mungu kwa nini wao wasiwe included??

4)Je sayari nyingine nazo zina mitume na manabii??

5)Je majini yanaweza kwenda kuishi kwenye hizo sayari kama wanavyoishi huku duniani??
Hayo mambo yote ni kufikirika tu.
 
Back
Top Bottom