Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Apo ndo utajua kwanini pombe sio chaiMara paaaaaaaaaaaaaaaaaaap! Aliye masomoni anakuja kuolewa na mtu mwingine
Hahahah,fresh tuu,..ila itakula kwake zaid kuliko kwangu,..ushawai kua kwenye uhusiano ambao umeelemea upande m1?sasa ndo huu uhusiano wetu,yaan mi ndo mwenye jeur kuliko yeye,na yeye ndo kila siku anawaswas kua mi ndo ntamuacha yeye..ni that kind of a relationshpMara paaaaaaaaaaaaaaaaaaap! Aliye masomoni anakuja kuolewa na mtu mwingine
Na ndomana nna mawazo sana hapa,...ila pia kwa jins navyomjua huyu dada,..nkimwambia live live,ataumia saaana,bora aendelee kuhis niko kwenye dilemaMwambie tu ukweli unless kama anajua kuwa mna buy tu time (It seems so from your explanation) vinginevyo hiyo dhambi (karma) itakufuata.
Wasomi wanazingua kuna jamaa alikua anamsomesha chuo uku anaish nae wakapanga waoane mamaee dem ile anamaliza kamtupa mchizi kaolewa na mwingne sembuse uyo wa nje ya nchiMara paaaaaaaaaaaaaaaaaaap! Aliye masomoni anakuja kuolewa na mtu mwingine
Daah mkuu maneno yako yameuchoma moyo wangu,..Kosa umeshafanya Mwanzo kwa kumtreat huyo Single Mother kama Mke mtarajiwa ikiwa huna Malengo naye.., sasa kwakuwa yeye alikuwa na Malengo na ww zaidi ya asilimia 75 maana yake tayari umemuumiza kwa Mara ya pili baada ya Maumivu ya kwanza ya Ndoa iliyovunjika..,
Hadi ss anapokuona bado anazidi kuumia hivyo hujui anachowaza kichwani mwake hadi sasa ukizingatia unadeal na Mtu mwenye experience ya Maumivu ya kuachwa hivyo hana chakupoteza tena!
Ushauri:
Bora Nusu Shari kuliko Shari kamili, temana nae ss japo umechelewa kunusuru Mustakabali wa Ndoa yako tarajiwa..,
Lakini tambua kua girls are very good kwenye Ku pretendUkishaona msichana anawaswas sana utamuacha ujue anakupenda,huyu dem ananipenda sana had kuna kipind nawaza siku itokee namuacha si anaeza jiua,...she is that kind of a woman,amenivumilia kwa meng sana ,kuna kipind nilitaka mwacha nilijuta
Nmewanenea mabaya wap mkuuWanaume wengi wamelelewa na singo maza hadi kufikia hapo walipofikia kimaisha......
iwe direct au indirect lakini mama ndio huwa anabeba majukumu makubwa kwenye ustawi wa maisha ya watoto wao......
Ndio hao hao wengine wamewapa mimba wadada na kuwakimbia na kuwaachia majukumu ya ulezi peke yao.........
Lakini cha ajabu ndio hao hao wanaokesha mitandaoni kuwatukana na kuwalaani singo maza kama kwamba hizo mimba walijipa wenyewe........
Katika maisha kujikwaa ni kawaida kama ambavyo wewe mwanaume ulijikwaa ukampachika mimba mwanamke ambaye una mpango naye na kumkimbia.....ndio na yeye amejikwaa na kujikuta ni singo na kwa ujasiri ameamua kusimama imara na kumtunza mtoto mpaka anakuwa mtu mzima na anajitegemea.......
Kama umeshindwa kuwaheshimu basi usiwanenee mabaya
RESPECT
Ndomana naomba ushaur ndugu yangu2019 tunaomba mrejesho. Kila la kheri.
- Hivi utawezaje kuwa na watu wawili at once? Malipo ni hapa hapa duniani.
- Hii sio sheria wala ramri usipokuwa makini MTU kudondosha chozi kwa ajiri yako may be hutokuwa na furaha kwenye ndoa yako.utakuwa MTU wa kujuta siku zako zote.
Kwa mwanaume ni ngum sana kuepuka hiko kikombe cha tamaa ,ukizingatia mdada yuko mbal sanaWewe ni Malaya nathubutu kusema.
Hivi kwann lakini hukumtunzia penzi lake huyo wa ulaya hadi arudi regardless yeye hufanya the same or not.
Maaan your hopeless,its enough to you,back to my side I believe in telepath so bro unachofamfanyia wa ulaya nawewe anakufanyia in the same degree.
Usipoacha huo mchezo mapema singo maza atapata mimba,na wa ulaya atakuja na mulattoes tena mapacha from married man.
Hana sabab ya kupretend,tulishatoka huko kitambo,..mnasemaga "umenitumia sana af uniache"..so huo ndo msemo wake mkuu,..na nmemtumia kwelkwl,na ubaya wake keshawaaminisha weng kua mi ndo mtu wake,ni dem yule wa kuweka mapicha yangu kwenye page zake,sasa hapo nadhan umenielewa.Lakini tambua kua girls are very good kwenye Ku pretend