Hivi jimbo la Kisarawe lina Mbunge?

kuna haja yakuweka vigenzo vyetu wananchi ili tuweze kukuchagua kuwa mbunge, lazima uwe na kimoja kati ya hivi.
tukifuata hivi vigezo tutafanikiwa sana huku majimboni.

1. Bank statement isome account balance 400mil na lazima tusibitishe nizakwako, hatujali namna ulivyozipata.
2. account isome 20mil za kwako + degree moja na kuendelea, chuo ulichosoma lazima kitambulike.
 
Naona mh mbunge umekuja moja kwa moja hongera
 
mngempa KINGWEDU sasa hivi jimbo lingekuwa hoyahoya kama MIKUMI mzee wa mituringa anavyolipeleka vema gurudumu la maendeleo
Hahahahaaaa.

Umeniwahi, nilitaka nimtaje kingwendu. Saiv tungekuwa tunapata hadi show ya kingwendu kule mjengoni.
Maana huyo sio wa kispot spot kabisa
 
Sasa kama wanashinda kwenye kucheza bao unafikiri watamwajibisha mbunge wao saa ngapi?
 
Ningependa kujua mnavyosena kuna shida ya umeme ni shida ya aina gani? Kukatika katika kila mara au usambazaji wa umeme ndo hamna? Na vipi maji yake ni ya chumvi au baridi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…