Hakuna kisicho wezekana kwa mungu lakini kama baba golo na mama golo mkazae mzugu duh mtihani,baba mtoto ataona kaibiwa tuu hata kama anamuamini vp mkewe na ukiwa na ndugu wanoko ndio balaaaaaaaaaaaa inazidi.
Aiseee umenikumbusha bushoke.. Kama ana wasiwasi na vipimo akapime mwenyewe sehemu nyingine.
Nafikiri post ya afrodenzi hapo chini itawapunguzia mashaka.