Hivi ikatoea gafla bin vuu huu msako utatoboa?

Hivi ikatoea gafla bin vuu huu msako utatoboa?

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
8,019
Reaction score
13,266
Nawaza tu kwa sauti
Ofisi za Jf zimevamiwa je lengo lao ni nini? Na je wataishia apo au wataendelea

Mfano ukatokea msako maofisini au kwenye kambi n.k zinakusanywa simu zote gafla bila kutarajia unaambiwa utoe password alafu waangalie Jf id yako utatoboa kweli? Au ndo bora wakuue kuliko kutoa password

Maana najuwa humu tunakutana watu tofauti tofauti wazuri kwa wabaya, ambao wapo sehem za juu na za kati uko gavoo na chamani.

Jf wanajitahid kuwa good sana kwa watu ambao hawana roho ya huruma, Nyuzi zinafutwa baadhi ya maoni yanafutwa ilimradi kujishusha lakini bado juhudi zao hazionekani wanavamiwa
 
Duh,basi kazi kweli kweli
Hao jamaa hawana shuguli
Za kufanya zaidi ya kuwinda

Ova
 
Nawaza tu kwa sauti
Ofisi za Jf zimevamiwa je lengo lao ni nini? Na je wataishia apo au wataendelea

Mfano ukatokea msako maofisini au kwenye kambi n.k zinakusanywa simu zote gafla bila kutarajia unaambiwa utoe password alafu waangalie Jf id yako utatoboa kweli? Au ndo bora wakuue kuliko kutoa password

Maana najuwa humu tunakutana watu tofauti tofauti wazuri kwa wabaya, ambao wapo sehem za juu na za kati uko gavoo na chamani.

Jf wanajitahid kuwa good sana kwa watu ambao hawana roho ya huruma, Nyuzi zinafutwa baadhi ya maoni yanafutwa ilimradi kujishusha lakini bado juhudi zao hazionekani wanavamiwa
Mbona mnataka kuifanya nchi hii na hiki kibibi chura cha kizimkazi special sana? North Korea na Uchina wenyewe hawajawahi kufanya vile na hawana uwezo huo iwe hiki kibibi cha kuja takataka🚮🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom