that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 386
- 1,247
Tunawashangaa waisraeli hapo kituoni...miaka 40 kwa mguu😁Habari za jumapili wana jf,
naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?
mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂
mje mnijibu😂
Tunataka kuona kama mnetuona na kama ilikuwa bado basi mjue kuwa ni mimi nimepitaHabari za jumapili wana jf,
naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?
mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂
mje mnijibu😂
Wewe kwanini unashangaa gari la mtu, mpaka unajua amegeuza shingo, kwanini unashangaa gari lake?Habari za jumapili wana jf,
naomba kuwauliza wenye magari yenu hivi mkiwa mnapita kwenye vituo mkakuta watu wamesimama huwa mnagueza shingo zenu kushangaa nini?
mnahisi kuna watu mnawajua?
mnaangalia kama kuna watu mnaweza kuwapa lift?
au mnatushangaaa kwanini hatuna magari? au tunaonekana mga kama vikatuni😂
mje mnijibu😂
Sio AndaziWanatuona masokwe
😂😂🙌🏿Tunawashangaa waisraeli hapo kituoni...miaka 40 kwa mguu😁
usirudie tena mkuuNisamehe mkuu