Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Tofauti na zamani ukigombana nae au mkiwa mna mgogoro wowote ataondoka kama alivyoo kimya kimya
Ila siku hizi ukigombana na mwanamke tuu hakuachi salama kila kilichopo ndani atabeba na kuondoka navyo imefika hatua wanawake saivi wamekuwa wajasiri kukupiga tukio la kubeba kila kitu ndani hawaoni shida lakini pia hata swala la kupelekana kwenye vyombo vya dola hawaogopi sio polisi sio mahakamani hawagopi yaani tukio anakupiga na popote unapotaka kwenda wewe nenda haogopi
Ila siku hizi ukigombana na mwanamke tuu hakuachi salama kila kilichopo ndani atabeba na kuondoka navyo imefika hatua wanawake saivi wamekuwa wajasiri kukupiga tukio la kubeba kila kitu ndani hawaoni shida lakini pia hata swala la kupelekana kwenye vyombo vya dola hawaogopi sio polisi sio mahakamani hawagopi yaani tukio anakupiga na popote unapotaka kwenda wewe nenda haogopi