Hivi hiyo Tume ya Katiba imefufuka tena?

Hivi hiyo Tume ya Katiba imefufuka tena?

ambagae

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2009
Posts
3,342
Reaction score
1,395
Mimi nadhani Tume ikishamaliza kazi yake ndo adios Sasa hii ikoje ikoje
 
Wale ni watanzania kma walivyo watanzania wengiine wanayo haki ya kuzungumza.
 
Kijana Ambagae anauliza tume ya warioba ilishamaliza kazi yake. Na ilishafutwa yaani haipo tena. Swali sasa kinachoendelea ni nini? Je? Tume bado inafanya kazi zake na inapeleka tena serikalini rasimu nyingine kwani bado inafanya kazi ya kukusanya maoni.
 
Nionavyo mimi Mzee Warioba anatumika kutaka kutuvuruga wananchi yeye tayari alishamaliza kazi yake na awaachie wenzie nao wafanye kazi yao. Asitumie ukubwa wake na heshima yake kutuvuruga. Au ndiyo wale waliosema kuwa watahakikisha Serikali ya Kikwete haitawaliki.
 
Nionavyo mimi Mzee Warioba anatumika kutaka kutuvuruga wananchi yeye tayari alishamaliza kazi yake na awaachie wenzie nao wafanye kazi yao. Asitumie ukubwa wake na heshima yake kutuvuruga. Au ndiyo wale waliosema kuwa watahakikisha Serikali ya Kikwete haitawaliki.

Poor minds
 
Tume haiko active bali wanalazimishwa kutoa ufafanuzi kwenye mambo ya msingi yanayofanyiwa upotoshaji Mkubwa na akina Wassira et al!!! Kwa nafasi yao kama Watanzania wanakila sababu ya kuhakikisha kuwa mchakato huu hauhujumiwi wala kuhodhiwa na kikundi kidogo cha Wanaccm wanaopokea amri kutoka Washington! Wale wazee ni mashujaa wa nchi hii, wale wazee ni wazalendo wenye kujua game linalochezwa na mataifa makubwa duniani! Wanajua madhara ya kuandikiwa katiba huko Washington !!! Wanajua kuwa Sera zote zenye maslahi kwa wananchi zinatungwa huko Washington na baadae bunge letu hupelekewa kuidhinisha!!! Timu ya Wataalam kutoka Washington walikuja Tanzania wakakaa na Wanasheria pale Malaika Hotel Mwanza... kwa tuliokuwa tunajua kinachoendelea tulipatwa na butwaa!!! The so called "technical assistance" kwenye Katiba ya Watanzania ni Ujinga na Upuuzi category A ... Ifike mahala Katiba ya Wananchi itokane na Wananchi wenyewe ie. Maoni ya Wananchi yaheshimiwe...
Mimi nadhani Tume ikishamaliza kazi yake ndo adios Sasa hii ikoje ikoje
 
Nionavyo mimi Mzee Warioba anatumika kutaka kutuvuruga wananchi yeye tayari alishamaliza kazi yake na awaachie wenzie nao wafanye kazi yao. Asitumie ukubwa wake na heshima yake kutuvuruga. Au ndiyo wale waliosema kuwa watahakikisha Serikali ya Kikwete haitawaliki.

Wametoa maoni,uchambuzi na kutoa ufafanuzi juu ya masuala yanayopotoshwa na wanasiasa haswa wa Chama Tawala.
 
Wametoa maoni,uchambuzi na kutoa ufafanuzi juu ya masuala yanayopotoshwa na wanasiasa haswa wa Chama Tawala.

Kama ni ufafanuzi wakautoe bungeni kwenye majukwaa haitosaidia kitu kwani ni watanzania wangapi? Waishio kijijini wala hawajui kama kunaabadiliko ya katiba ni hapo kwenu Dar ndiyo mnaojifanya kuwa wasemaji wa watanzania wooote
 
Back
Top Bottom