Hivi hili suala la kustaafu Serikalini limekaaje?

kovidii

JF-Expert Member
May 4, 2020
277
264
Kimsingi ukimuuliza raia yeyote anayefuatilia Mambo ktk nchi hii kuhusu umri sahihi wa mtu kustaafu Serikalini, atakwambia;kwa hiari 55yrs kwa mujibu wa sheria 60yrs.sasa Kuna Jambo limenitafakarisha bila kupata clear answer!

Juzi kati tumeambiwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora amestaafu , kiukwel huyu ni mmoja kat ya viongoz waandamiz wa Serikali hii walionivutia ktk utendaj wao.sijakaa vizuri leo nikaskia waziri wa utawala bora mh George Mkuchika kamteua somebody ngoma kuwa DAS Singida.

Sasa nikimuangalia mzee Mkuchika kwa macho ya kawaida tu ni mzee kuliko Mwanri, sasa hapa ndo NNAPOSHINDWA KUSHANGAA.Ni vigezo gani huwastaafisha viongozi wetu? Hebu wajuzi mnijuze hapa.
 
Umeuliza swali zuri sana na post#4 amekujibu vizuri sana, nami ngoja nijazie nyama kidogo.

Kwa mifano ya kustaafu hawa wakuu wa mikoa uliowaongelea, hawa hawajastaafu bali wamestaafishwa.

Rc's wa Tabora na Kigoma walikuwa ni watumishi wa umma wastaafu kabla ya kuteuliwa kushika nyadhifa zao hizo, sasa utasemaje wamestaafu wakati walikwisha kustaafu kitambo kabla ya teuzi?

Hiyo kwao ilikuwa ni part time job wanafanya, wasingeweza kustaafu kipendaroho wakati nguvu za kiutendaji walikuwa wanazo bado!

Haukuwa unasikia jinsi wanavyotema cheche?
Hao wamestaafishwa na aliyewateua, siasa hizi, neno linapindishwa pindishwa hadi ukweli unafichika!
 
kwa ninavyo elewa, kuhusu hili ni hivi:-

1.kuhusu kustaafu haina shida waliokujibu juu wamekujibu vizuri sana.
2. Kustaafu kwa Mwanri, kwa sasa taratibu zinakuhitaji kama unataka kwenda kugombea nafasi yeyote, basi unaomba kwanza kustaafu kazi yako ya awali hasa kwa hizi nafasi za kuteuliwa, ndyo maana ma DAS wengi wanastaafu. Hii ni kwa mujib wa taratibu za sasa, yaani ukikosa ubunge huko unakoenda itabidi usugue benchi.
NB. nia ninafikiri ni kukomesha TAMAA.
 
Umeuliza swali zuri sana na post#4 amekujibu vizuri sana, nami ngoja nijazie nyama kidogo.

Kwa mifano ya kustaafu hawa wakuu wa mikoa uliowaongelea, hawa hawajastaafu bali wamestaafishwa.

Rc's wa Tabora na Kigoma walikuwa ni watumishi wa umma wastaafu kabla ya kuteuliwa kushika nyadhifa zao hizo, sasa utasemaje wamestaafu wakati walikwisha kustaafu kitambo kabla ya teuzi?

Hiyo kwao ilikuwa ni part time job wanafanya, wasingeweza kustaafu kipendaroho wakati nguvu za kiutendaji walikuwa wanazo bado!

Haukuwa unasikia jinsi wanavyotema cheche?
Hao wamestaafishwa na aliyewateua, siasa hizi, neno linapindishwa pindishwa hadi ukweli unafichika!
Nnachojua Mawaziri na wabunge kustaafu ni pale hadi utapoona Jogoo hapandi tena mtungi.
 
kwa ninavyo elewa, kuhusu hili ni hivi:-

1.kuhusu kustaafu haina shida waliokujibu juu wamekujibu vizuri sana.
2. Kustaafu kwa Mwanri, kwa sasa taratibu zinakuhitaji kama unataka kwenda kugombea nafasi yeyote, basi unaomba kwanza kustaafu kazi yako ya awali hasa kwa hizi nafasi za kuteuliwa, ndyo maana ma DAS wengi wanastaafu. Hii ni kwa mujib wa taratibu za sasa, yaani ukikosa ubunge huko unakoenda itabidi usugue benchi.
NB. nia ninafikiri ni kukomesha TAMAA.
Hapo nakupinga...juz alipokua anawaapisha alisema kabisa waliomuomba ruksa akawaruhusu,wakiwemo wale wawili wa mvomero.wale hawakustaafu.walikua wanawekewa tu replacement kwa nafas zao bila maelekezo mengine hd juz rais aliposema waliomba ruksa.sasa unataka kuniambia na yule mjeda alokua rc kigoma nae kaomba akagombee ubunge!?
 
Nnachojua Mawaziri na wabunge kustaafu ni pale hadi utapoona Jogoo hapandi tena mtungi.
Kustaafu kwa watumishi wa umma ni pamoja na kufikisha umri wa 60+.
Sasa hao walikuwa washapea wakajistaafia, sasa kustaafu juu ya kustaafu, wapi na wapi?
 
Hapo nakupinga...juz alipokua anawaapisha alisema kabisa waliomuomba ruksa akawaruhusu,wakiwemo wale wawili wa mvomero.wale hawakustaafu.walikua wanawekewa tu replacement kwa nafas zao bila maelekezo mengine hd juz rais aliposema waliomba ruksa.sasa unataka kuniambia na yule mjeda alokua rc kigoma nae kaomba akagombee ubunge!?
Mkuu, Ukiwa mjeda unapoteza sifa za kugombea ubunge?
 
Mkuu, Ukiwa mjeda unapoteza sifa za kugombea ubunge?
Lazma uvue kofia moja ndo uvae nyingine,coz ht jakaya alitoka jeshin akaingia siasa.askari hawarihusiw kua wanachama wa vyama vya siasa kwa mujibu wa sheria.kuhusu case ya yule wa kigoma,yeye alistaafu jeshini...then ndo akapata promotion kua rc.nw kastaaf tena!!haya Mambo sometimes wanayaelewaga wenyewe tu
 
Kimsingi ukimuuliza raia yeyote anayefuatilia Mambo ktk nchi hii kuhusu umri sahihi wa mtu kustaafu Serikalini, atakwambia;kwa hiari 55yrs kwa mujibu wa sheria 60yrs.sasa Kuna Jambo limenitafakarisha bila kupata clear answer!

Juzi kati tumeambiwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora amestaafu , kiukwel huyu ni mmoja kat ya viongoz waandamiz wa Serikali hii walionivutia ktk utendaj wao.sijakaa vizuri leo nikaskia waziri wa utawala bora mh George Mkuchika kamteua somebody ngoma kuwa DAS Singida.

Sasa nikimuangalia mzee Mkuchika kwa macho ya kawaida tu ni mzee kuliko Mwanri, sasa hapa ndo NNAPOSHINDWA KUSHANGAA.Ni vigezo gani huwastaafisha viongozi wetu? Hebu wajuzi mnijuze hapa.
Kustaafu si kwa muonekano, bali umri. Kuna watu wana umri mkubwa kuliko wanavyoonekana kimwili.. na kinyume chake ni kweli
 
Back
Top Bottom