Hivi hii tabia ya Wanawake kujilipia Mahari na Kugharamia harusi imetoka wapi?

Siwezi sio wote mito tumeandikiwa kuolewa wengine tumeandikiwa kucheza kwaito za wenzetu

Ndoa ni wito narudia tena ndoa ni wito huwa inakuja automatically tu
Je kuolewa kwa msahafu maana wengine wanataja mahar sawa na bure tu
 
Mwanamke anakuwa kampenda mwanaume sana.
Mwanaume anakuwa hajampenda bibie kiasi hicho. Mwanamke anafosi ndoa, wakati mwanaume hajawa tayari. Hivyo lazima ajigharamie.

Ila wengine ni mapenzi tuu ..Ila binafsi siwezi Fanya huo upumbavu wa kubishana na Maandiko.
Kwa mfano Mimi mke wangu tulimaliza chuo pamoja ila yeye aliwahi kupata kazi mapema Kwa sababu ya connection ya baba yake, mwaka wa kwanza ukaisha Mimi sijapata kazi, mwishoni mwa mwaka wa pili nikapata kibarua cha kufundisha sekondari masomo ya commerce na bookkeeping wakati hapo Nina karibia kumaliza CPA .
Unajua mke wangu akaamua kugharimia harusi Kwa karibia 3/4 maana hata ndugu zangu including wazazi mpaka Leo hawajui suti na michango mingi kwenye kamati nililipiwa na mke wangu.
Ila leo hii mke wangu nimemzidi kipato kwa mbali sana.na hata kazi anayoifanya sasa ni Mimi nimemuunganishia.
Haya mambo ya kusaidiana ni kawaida sana , sema wanawake mnaosema hamuwezi kusaidia ni kwamba nyie wenyewe hamjitoshelezi
 
Chukulia una kiserengeti boy chako, halafu hakina uwezo wa kulipa mahari, ukiangalia familia yao nayo ni tia maji tia maji, nawe umeishadoda vya kutosha tu, Je huwezi jigharamia mkae kindoa? teh
 
Siwezi sio wote mito tumeandikiwa kuolewa wengine tumeandikiwa kucheza kwaito za wenzetu

Ndoa ni wito narudia tena ndoa ni wito huwa inakuja automatically tu
Ni kweli kabsa sio kila mwanamke kaandikiwa ndoa
 
Kuna harusi tano ziko kwenye pipeline, zote nahusika kwa namna moja au nyingine, ila nimeshangaa kusikia 3 kati ya hizo, wadada wamejilipia mahari na wanagharamia shughuli nzima ya harusi.

Hivi ni kujioza?!, ni fashion?! ama nini...manake duuh, najaribu kuimagine ndo dada yangu anafanya hivoo, nahisi kama hatapata ushirikiano wangu, au ndo sijui atanificha nisijue?!

Anyway, nawaza waza tu yaan, mapicha si mapicha yaan sielewi
Nilishasema kuwa jamani wanawake acheni kujiabisha.
Marafiki zangu wa kike wote wameoa sii kuolewa.
Mimi napenda niolewe nanitaolewa tu najua Mungu hamtupi mja wake .
Nakemea pepo chafu lakuoa mwanaume nafunga neno kugharamia harusi na mahari yangu kwa jina la Yesu.
 
Mwe mwe mweeeeh!! Naemagine tu najilipia mahari.

mito kaka yangu hebu nikopeshe hela nikajilipie mahari nitakurudishia Mungu akioenda.
 
we kama haujaoa na una girlfriend au mchumba, gusia tu swala la ndoa uone wanavyochangamka ku-support. Siku hizi kuolewa sio jambo dogo.
 
Nimeisha ziona nyingi, ambazo mwisho wake ni mwanaume kulia lia kama zezeta alipoteza mdoli wake. Japo mwanzo mwanamke uonyesha mapenzi yote.
 
Nimeisha ziona nyingi, ambazo mwisho wake ni mwanaume kulia lia kama zezeta aliyepoteza mdoli wake. Japo mwanzo mwanamke uonyesha mapenzi yote. Akiwa, desperate na ndoa au anali revange aliyemuacha solemba, vilevile, infatuation; kwa dume anayeokotwa na kulipiwa mahari na mchumba wake uwa hajui yaliyoko nyuma ya pazia, uchangia pakubwa sana.
 
Kuna harusi tano ziko kwenye pipeline, zote nahusika kwa namna moja au nyingine, ila nimeshangaa kusikia 3 kati ya hizo, wadada wamejilipia mahari na wanagharamia shughuli nzima ya harusi.

Hivi ni kujioza?!, ni fashion?! ama nini...manake duuh, najaribu kuimagine ndo dada yangu anafanya hivoo, nahisi kama hatapata ushirikiano wangu, au ndo sijui atanificha nisijue?!

Anyway, nawaza waza tu yaan, mapicha si mapicha yaan sielewi
India
 
Kuna wanawake wengine wapo serious kutafuta wanaume, ndo kama hao sasa. Na wengine wanadumu vizuri kwenye ndoa zao na mifano hai ipo
 
Siwezi fanya upuuzi huo!

Kwanza n kujishushia thamani, na ndo maana wanaume hawaekelezi majukumu yao halafu tunalalamika!

Na mwaname anakua hajakupenda hawezi kubali hii kitu!
 
Back
Top Bottom