akajasembamba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 1,012
- 1,475
Imetoka IndiaKuna harusi tano ziko kwenye pipeline, zote nahusika kwa namna moja au nyingine, ila nimeshangaa kusikia 3 kati ya hizo, wadada wamejilipia mahari na wanagharamia shughuli nzima ya harusi.
Hivi ni kujioza?!, ni fashion?! ama nini...manake duuh, najaribu kuimagine ndo dada yangu anafanya hivoo, nahisi kama hatapata ushirikiano wangu, au ndo sijui atanificha nisijue?!
Anyway, nawaza waza tu yaan, mapicha si mapicha yaan sielewi